Natafuta Mke

Natafuta Mke

mutant gene

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
876
Reaction score
326
Ninatafuta mke sifa ninazotaka,

i) Awe ni doctor au ni mwanafunzi wa MD
umri 23-28
ii) Rangi haijalishi ila itakuwa vizuri akiwa maji ya kunde
iii) Umbo saizi ya kati( yani asiwe mnene wala mwembamba sana)
iv) Sichagui kabila ( ila itakuwa vizuri akiwa ni mtu wa tanga)


Sifa zangu:

-Muajiriwa serikalini( engineer)
-Mrefu mweusi
-Mwembamba
- Muhaya
- Muislamu

KAMA UKO NA SIFA ZA HAPO JUU PM. NAOMBA NIELEWEKE NATAFUTA MKE NA SIO GIRLFRIEND.

Asanteni
 
Yes nimeipenda hiyo mama( doctor) baba (engineer). Mtoto atasoma science kwa vipoko. I have i dream..
 
Kwa miaka uliyo itaja walio wengi wako vyuo au wanafanya interns...... Nakushauri jaribu kujichanganya sana kama wewe ni biomedical engineer
 
mmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Kwa miaka uliyo itaja walio wengi wako vyuo au wanafanya interns...... Nakushauri jaribu kujichanganya sana kama wewe ni biomedical engineer

Asante mkuu kwa ushauri wako, nitaufanyia kazi. ubarikiwe mkuu
 
Ninatafuta mke sifa ninazotaka
- Awe ni doctor au ni mwanafunzi wa MD
- umri 23-28
-rangi haijalishi ila itakuwa vizuri akiwa maji ya kunde
-dini sichagui( akiwa muislamu itakuwa vizuri zaidi)
- umbo saizi ya kati( yani asiwe mnene wala mwembamba sana)
- sichagui kabila ( ila itakuwa vizuri akiwa ni mtu wa tanga)


Sifa zangu:
-Muajiriwa serikalini( engineer)
-Mrefu mweusi
-Mwembamba
- Muhaya
- Muislamu
KAMA UKO NA SIFA ZA HAPO JUU PM. NAOMBA NIELEWEKE NATAFUTA MKE NA SIO GIRLFRIEND.
Asanteni

huwa unasumbuliwa na magonjwa ya mara kwa mara??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom