jaffari odhiambo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 526
- 13
Natafuta mke wa kuoa mwenye tabia nzuri. Huyo mke awe na rangi yake ya Asili sio ya kutumia cream. Sichagui rangi,awe na elimu angalau ya form four. Umri wake uwe kati ya 20 - 30. Awe mpenda watu na asiwe anatumia pombe,sigara,bangi, mirungi, na mengineyo. Asiwe anavaa nusu uchi pia awe #mwisilam .
kabila lolote na awe anatoka mikoa ya #MARA_MWANZA_KAGERA_SHINYANGA Aliye tayari tuwasiliane kwa namba hii 0765751413. Napatikana whatsApp kwa namba hiyo hapo juu. Mimi napatikana Bunda-Musoma.
kabila lolote na awe anatoka mikoa ya #MARA_MWANZA_KAGERA_SHINYANGA Aliye tayari tuwasiliane kwa namba hii 0765751413. Napatikana whatsApp kwa namba hiyo hapo juu. Mimi napatikana Bunda-Musoma.