Intelligent businessman JF-Expert Member Joined Sep 6, 2022 Posts 44,009 Reaction score 95,515 Jan 1, 2026 #41 Minah said: Mh jaman mbona umenikomalia😫😫 Click to expand... Mwaka jana hiyo, vipi una taka kuwa rafiki yangu 2026?
Minah said: Mh jaman mbona umenikomalia😫😫 Click to expand... Mwaka jana hiyo, vipi una taka kuwa rafiki yangu 2026?
Minah JF-Expert Member Joined Dec 23, 2018 Posts 858 Reaction score 2,376 Jan 1, 2026 #42 Intelligent businessman said: Mwaka jana hiyo, vipi una taka kuwa rafiki yangu 2026? Click to expand... Heri ya mwaka mpya rafiki yangu🤣🤝
Intelligent businessman said: Mwaka jana hiyo, vipi una taka kuwa rafiki yangu 2026? Click to expand... Heri ya mwaka mpya rafiki yangu🤣🤝
King Kong III JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 60,338 Reaction score 88,505 Jan 1, 2026 #43 Irikenyi said: Umri wangu ni miaka 45 Kazi biashara ndogondogo Dini mkristo Makazi Dar Sifa za mke kuanzia miaka 30-42 Dini yoyote Karibu Click to expand... Miaka 45 ni Umri wa kustaafu jeshini.
Irikenyi said: Umri wangu ni miaka 45 Kazi biashara ndogondogo Dini mkristo Makazi Dar Sifa za mke kuanzia miaka 30-42 Dini yoyote Karibu Click to expand... Miaka 45 ni Umri wa kustaafu jeshini.
Intelligent businessman JF-Expert Member Joined Sep 6, 2022 Posts 44,009 Reaction score 95,515 Jan 1, 2026 #44 Minah said: Heri ya mwaka mpya rafiki yangu🤣🤝 Click to expand... Asante Sana rafiki mpya, ole wako uni gaye 😁
Minah said: Heri ya mwaka mpya rafiki yangu🤣🤝 Click to expand... Asante Sana rafiki mpya, ole wako uni gaye 😁
Scott junior JF-Expert Member Joined Mar 24, 2022 Posts 2,410 Reaction score 3,196 Jan 1, 2026 #45 King Kong III said: Miaka 45 ni Umri wa kustaafu jeshini. Click to expand... Bado sana
kyagata JF-Expert Member Joined Oct 18, 2016 Posts 13,710 Reaction score 25,493 Jan 1, 2026 #46 Nyege mbaya sana. Wenzio wa 45 wanawaza kulea vitukuu,wewe unawaza ngono tu bado?
Jane Msowoya JF-Expert Member Joined Aug 20, 2017 Posts 4,795 Reaction score 8,942 Jan 1, 2026 #47 Irikenyi said: Umri wangu ni miaka 45 Kazi biashara ndogondogo Dini mkristo Makazi Dar Sifa za mke kuanzia miaka 30-42 Dini yoyote Karibu Click to expand... Usiseme hivi mkuu maneno huumba Ukijitamkia biashara yako ni ndogondogo itakuwa hivyo always Anyway pisi za Jf zinataka hela mkuu kajitafute kwanza Thou sikukatishi tamaa Mungu akupe hitaji la moyo wako
Irikenyi said: Umri wangu ni miaka 45 Kazi biashara ndogondogo Dini mkristo Makazi Dar Sifa za mke kuanzia miaka 30-42 Dini yoyote Karibu Click to expand... Usiseme hivi mkuu maneno huumba Ukijitamkia biashara yako ni ndogondogo itakuwa hivyo always Anyway pisi za Jf zinataka hela mkuu kajitafute kwanza Thou sikukatishi tamaa Mungu akupe hitaji la moyo wako