Me bado nina soko huku kwa ground my friend 😃😃.. bado sijachujaJaribu kuomba mume 😄afu utupe feedback
Huu ni uchawi😒😒Hata ukipata Leo mtaachana kabla ya mwaka mpya
Dogo usiwe unaingia kwenye nyuzi za kikubwa🥺Hivi mnapataga kweli wake wenyewe humu au ndo hayanihusu😌😌.. Anyways Goodluck
Sawa☺️☺️🤭Dogo usiwe unaingia kwenye nyuzi za kikubwa🥺
Wanaosaka wake humu hawana soko huko waliopo?Me bado nina soko huku kwa ground my friend 😃😃.. bado sijachuja
Hilo swali ndo tunatakiwa kuwauliza, shida nini maana wa humu ndo haohao wa mtaani 😃😃Wanaosaka wake humu hawana soko huko waliopo?
Tukiwaambia wanaooa saiv betri inasoma 2% muwe mnaelewa 😁Huu ni uchawi😒😒
humu si watapeana mawasiliano, mengine watafahamishana taratibu huko nje😃Tukiwaambia wanaooa saiv betri inasoma 2% muwe mnaelewa 😁
Kwanza huwezi tafuta mwanamke ktk ombwe la watu wanaotumia utambulisho bandia, hamjuani, hamjasomana kitabia, hamjakiwasha kuona kama vitendeakazi(vitombeo) yaliyomo yamo
Pili angalia muhusika alivojieleza maelezo hayajitishelezi kbs hasemi umri wake, mitazamo ya kiimani, hali yake ya Sasa kiuchumi kiafya n.k
Ww jf wengi ni diaspora 🤣wanaomba ushauri, wachumba na misaada humu ndo tunakaaa MBINGAHilo swali ndo tunatakiwa kuwauliza, shida nini maana wa humu ndo haohao wa mtaani 😃😃
Ndo nachosema mm simu Moja tu wakiulizana watakimbiana kabla ya mwaka mpya😁humu si watapeana mawasiliano, mengine watafahamishana taratibu huko nje😃
Jamani, mbona Mbinga😃😃Ww jf wengi ni diaspora 🤣wanaomba ushauri, wachumba na misaada humu ndo tunakaaa MBINGA
Ahahahah😂😂😂.. kuna watu wamepata ndoa humu ujue?Ndo nachosema mm simu Moja tu wakiulizana watakimbiana kabla ya mwaka mpya😁
Weka vyeti vya ndoa 🤣🤣humu mtu ana ID mbili Moja ya kike Moja ya kiume anajifanyia vitu anapenda......hz fake ID hzAhahahah😂😂😂.. kuna wamepata ndoa humu ujue?
Ahahaha😂😂🤭🤭.. ila wewe jamaa hapana kwakweli,, ila si walishawahi hata kupiga story za mapenzi huko nje jamaniWeka vyeti vya ndoa 🤣🤣humu mtu ana ID mbili Moja ya kike Moja ya kiume anajifanyia vitu anapenda......hz fake ID hz
Story wamepiga na wengine hadi nyeti wamelambana ila hayo yanafanyika kimkakati sana.....baada ya hapo wakichokana ndo mtu anakuja na multiple ID au anabadilisha kbsAhahaha😂😂🤭🤭.. ila wewe jamaa hapana kwakweli,, ila si walishawahi hata kupiga story za mapenzi huko nje jamani
Mambo ni mengi sana aisee 😂😂😂Story wamepiga na wengine hadi nyeti wamelambana ila hayo yanafanyika kimkakati sana.....baada ya hapo wakichokana ndo mtu anakuja na multiple ID au anabadilisha kbs
Kuna syndicate za mapenzi humu😁Mambo ni mengi sana aisee 😂😂😂
Mmh 😐😂😂Kuna syndicate za mapenzi humu😁