Rahimu kiwani
Member
- Jun 14, 2022
- 58
- 47
Habari zenu ndugu Jamii Forum,
Nia ya kuandika uzi huu hapa, ni kutoa attention juu ya mada ya hapo juu, haja yangu kupata mke wa maisha ambae atakua ni mbora wa maisha yangu, kwa mawasiliano zaidi waweza kunitafuta kupitia wasap namba +255773120431.
Hii namba anitafute ambae yupo tayari na hiyo jambo vinginevyo kama unaona haikuhusu basi usihangaike nayo, kigezo/ vigezo: awe mweupe au mng'avu, awe na umri kuanzia 25-28, awe amesoma level kuanzia form four had chuo , asiwe chibonge, asiwe mfupi, Dini yeyote ila awe tayari kunifata ktk dini yangu. Karibuni sana...... ..........
Nia ya kuandika uzi huu hapa, ni kutoa attention juu ya mada ya hapo juu, haja yangu kupata mke wa maisha ambae atakua ni mbora wa maisha yangu, kwa mawasiliano zaidi waweza kunitafuta kupitia wasap namba +255773120431.
Hii namba anitafute ambae yupo tayari na hiyo jambo vinginevyo kama unaona haikuhusu basi usihangaike nayo, kigezo/ vigezo: awe mweupe au mng'avu, awe na umri kuanzia 25-28, awe amesoma level kuanzia form four had chuo , asiwe chibonge, asiwe mfupi, Dini yeyote ila awe tayari kunifata ktk dini yangu. Karibuni sana...... ..........