Kumbuka, si kwa ajili ya uwezo wa kifedha, nadhani ni principal zangu na mafundisho ya kidini, mgeni ni siku tatu ya nne anakuwa mwenyeji.
Of course, kama wana shida genuine ntawasaidia, lakini kuwasaidia si lazima wajazane kwangu.
Ahh hii ya kutojaziana wageni nimeipenda haswaaaa,maana kuna makabila jamani sio siri kichefuchefumaana utawasikia (UHU NI MWANA WA SHANGAZI YANE KABISA)wageni mwaka mzima mgeni gani wewe,ila ndio hivyo hayo masharti mengine ndio hapo chacha!!!