Natafuta mke wa kuowa

Natafuta mke wa kuowa

JONATHAN KAMWAVAH'S

Senior Member
Joined
Oct 9, 2012
Posts
184
Reaction score
24
Nina miaka 28, mrefu kiasi, mkristo, mweupe kiasi, mjasiliamali, naishi mkuranga, elimu form six. Naemtafuta awe maeneo ya dar na pwani, namba yangu ni

0719450426.
 
Nimtafutae awe na elimu kuanzia form 4,mwenye hofu ya mungu,umri kuanzia 18 na kuendelea,ameajiliwa au kajiajili,ASANTE.
 
Hofu ya Mungu ni hofu gani na ikoje. Alafu angalia kiswahili chako. Jifunze matumizi ya r na l
 
Hofu ya mungu ni kutii sheria zake na kufuata taratibu zake,kuhusu R na L ndugu yangu mm MNYAMWEZI ni katatizo ka mkoa.
 
Mwanume ni kutongoza, online searching achia ma domo zege
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom