Natafuta mke wa kuoa

Natafuta mke wa kuoa

Wewe ci umeshaelewa au?

Sasa kama unaomba msaada halafu hutaki kutujibu, kwa nini umeleta uzi kwenye public forum? Ungekutana na mmoja wao ukampa barua mkamalizana.

Unapokataa kunijibu, una hakika gani kwamba mjukuu wangu mmoja haweza kukufaaa?
 
Sasa kama unaomba msaada halafu hutaki kutujibu, kwa nini umeleta uzi kwenye public forum? Ungekutana na mmoja wao ukampa barua mkamalizana.

Unapokataa kunijibu, una hakika gani kwamba mjukuu wangu mmoja haweza kukufaaa?


Acha zako kama Uzi haukufai au kukuhisu kula kona!
 
Nenda kijijini kwenu wa humu utapata BP bure utampata used zaidi U weema Chepe
 
Habari wana jf,
Mimi ni kijana wa kiume nimeajiriwa na kampuni ya kifedha hapa DSM, Nipo serious nahitaji mke wa kuowa, mwenye sifa zifuatazo awe mweusi, mnene wa Kati na Urefu wa wastani, awe mkiristo na umri Kati ya miaka 24 hadi 27 na awe tayali kwenda kupima kabla ya jambo lolote!!!

Uandishi wako umenikumbusha demu wangu mmoja alikuwa anaandika kama wewe "towa badala ya toa, owa badala oa" ambae niliamua kumpiga chini kutokana na kutokujua kwake kuandika vizuri.
 
Uandishi wako umenikumbusha demu wangu mmoja alikuwa anaandika kama wewe "towa badala ya toa, owa badala oa" ambae niliamua kumpiga chini kutokana na kutokujua kwake kuandika vizuri.


Huu we ci umeelewa kama Uzi haukuhusu kula kona kwanza Wewe ni mwanaune au na wewe unataka kuolewa nini mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom