- Thread starter
- #21
kwakweli namwomba sn MUNGU anipatie mke mwemaMshirikishe na Mungu mkuu, abariki hilo.
kwakweli namwomba sn MUNGU anipatie mke mwemaMshirikishe na Mungu mkuu, abariki hilo.
hivi ni mke wa kuoa au msichana wa kuoa?
mke haolewi, mchumba ndiye anayeolewa.... LOL
mkuu vipi maendeleo...bado hujapata tu?
Apate wapi?anataka mwalimu vile engine za kuunda zikikosa anaendelea na mshahara wa teacher!!!
mkuu vipi maendeleo...bado hujapata tu?
mke haolewi, mchumba ndiye anayeolewa.... LOL
mke haolewi, mchumba ndiye anayeolewa.... LOL
hivi ni mke wa kuoa au msichana wa kuoa?
hivi ni mke wa kuoa au msichana wa kuoa?
samahani wakuu msichana wakuoa,
kama a mtaani kwake wote vicheche?Narudia tena. Vijana wa siku hizi mmezidi udomo zege. Mke hapatikani kwenye keyboard.
Mimi ni kijana wa miaka 26 kabila langu ni mchaga na ni mkristo mkatoliki, nafanya kazi za kutengeneza ingine, gearbox na diff za malori. ninahitaji kuoa na ninatafuta mke. sifa za mke ninayependa kumuoa
1. Awe mwembamba lkn si sana
2.sina ubaguzi wa rangi lkn sitaki aliyejichubua
3. Awe na kazi hasa ya ualimu
4. Awe msafi sana
5. Awe mkristo mkatoliki na Awe mcha MUNGU sana
6. Awe mwaminifu sana
7. Awe na mapenzi ya dhati
kwa yoyote aliye tayari kuolewa na mwenye sifa hizo naomba aniPM
kwa mawasiliano zaidi
natanguliza shukrani za dhati
Tembelea kwenye vyuo vya ualimu.