Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,551
- 45,845
jamaa anataka nyumba babu ,na salary slip iliyoshiba .mimi mtu wa mizinga sasa mimi na yeye wapi na wapi mimi natafuta mtu wa kuhamia kwake huyu nae anataka kuhamia tutaishia kulazana stend tu maana ni kuviziana tu hapaKwa mara ya kwanza Miss Natafuta amekutana na zali la mentali!