Natafuta mke tujenge familia

Natafuta mke tujenge familia

Hamna usihofu c unajua najaribu kuchat kablA mwaka haujaisha kama VP heri ya mwaka mpya
Mi napita tu
Mkuu naona unaitafuta 07934455.... janja sana wewe. Kitu biboooo
 
Abari zenu bandugu... heri ya mwaka mpya kwenu woote. Nilipenda kuwashirikisha haya labda naweza nikabahati. Namtafuta mwanamke yeyote ambae labda kachelewa kuolewa ao aliwai kuolewa akaachika. vigezo miaka kuanzia 25 awe tayari amejenga NYUMBA yake binafsi, awe nakazi nzuri, kaajiriwa ao amejiajiri, awena Mtoto 1, awena elimu isiopungia form4, awe mcha Mungu... uzuri wauso, shepu nzuri siangalii... Umri asizidi miaka 45 na mwisho kabisa awetayari kunizalia watoto zaidi yawa 2. mimi nimeajiriwa Vodacom Nina miaka 32, Nina Mtoto 1, kwayule ambae yupo tayari anaweza akani pm, ilituyajenge vizuri. Karibuni
Kunajirani yangu hapa mkuu, sifa zote hizo anazo ila ana f*stula sugu sana haitibiki! Kashakimbiwa na wanaume wanne, xo kama atakufaa, nicheki PM, nikupe contact zake maana nae anatafta pakupumzikia.
 
awe tayari amejenga NYUMBA yake binafsi, awe nakazi nzuri, kaajiriwa ao amejiajiri,
sasa iyo ni dharau mama? Siobana!!! Nivigezo tu nimeweka pia havina umuhim saaana kama nitapata yule ambae anaitaji.
 
Kunajirani yangu hapa mkuu, sifa zote hizo anazo ila ana f*stula sugu sana haitibiki! Kashakimbiwa na wanaume wanne, xo kama atakufaa, nicheki PM, nikupe contact zake maana nae anatafta pakupumzikia.
Duuuh, kakimbiwa nawa 4, Mimi nitaweza kweli?? Iyo cheche.
 
Kunajirani yangu hapa mkuu, sifa zote hizo anazo ila ana f*stula sugu sana haitibiki! Kashakimbiwa na wanaume wanne, xo kama atakufaa, nicheki PM, nikupe contact zake maana nae anatafta pakupumzikia.
Ila kwamtazamo wako unahisi atakua na umrigani mkuu??
 
Back
Top Bottom