Hivi wewe mpuuzi nini??una akili kweli au matope ?? Unauakika ngani wewe ni mzima ?? Humu ndani kuna watu weu sana .huwezi kusema maneno kama mweu .umenichafua sana wewe mjinga uwezi kusema maneno kama hayo ??badala ya kumtia moyo unazungumza upuuzi .kumshauli unazungumza ushenzi .tena nakusifu sana mkuu .mungu akutia nguvu na moyo huo mzuri na kuwa mkweli kumtafuta mwenzi wako ili muishi naye .kuna post ilikuwepo kuna mdada moja alitoa anatafuta mume mwenye VVU .check post za nyuma .mungu akubariki sana na kuwa VVU cyo mwisho wa maisha mkuu.