ufumawicha
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 504
- 209
- Thread starter
- #41
Nitumie details zako kwenye pmVigezo ninavyo lkn nina 35
Nitumie details zako kwenye pmVigezo ninavyo lkn nina 35
Nina miaka 26 ni single mother(mtoto mmoja)Weka wazi una vigezo vipi.LAKINI ELEWA MIMI SITANII.NINAMAANISHA NILICHOANDIKA!!!!!!
pm,tuongee vizuriNina miaka 26 ni single mother(mtoto mmoja)
Shape yangu ni kubwa km ulivyotaka....namaanisha shape nzuri
Elimu yangu ni form four
Ni mjasiriamali
Ni muajiriwa pia wa kampuni binafsi
Ni maji ya kunde
AKINA DADA NAFASI BADO IPO,MSIOGOPE!!!!!!!!!Mimi umri wangu ni miaka 40. Nilikuwa masomoni nje ya nchi. Natafuta mke.
Niliwahi kuwa na mahusiano na nina watoto wawili na ninawapenda sana.
Dini yangu mkristo. Mke awe mkristo. Umri wa mke kuanzia 25 ila umbile liwe la ki utu uzima!
Aliye tayari aniPM.
Sasa mchumba si ushampata huyo hapo juu? Au ni ndoa ya mitala hiiAKINA DADA NAFASI BADO IPO,MSIOGOPE!!!!!!!!!
Weee em tulia, hupendagi multiple choices?, sijui ntapatamoooSasa mchumba si ushampata huyo hapo juu? Au ni ndoa ya mitala hii
Yaaani we bidada ni full burudani, cjui ntakuonaje vilejana niliota nimeingia jf nikakuta mtu anatafuta mke nikapm tukaoana eti nina umbile na kitu uzima kabisa usijali kilo 98 sio mchezo hebu ni pm mkuu tuoane zetu hata kama umetokea bulgaria
Na yeye aje na watoto wangapi?Mimi umri wangu ni miaka 40. Nilikuwa masomoni nje ya nchi. Natafuta mke.
Niliwahi kuwa na mahusiano na nina watoto wawili na ninawapenda sana.
Dini yangu mkristo. Mke awe mkristo. Umri wa mke kuanzia 25 ila umbile liwe la ki utu uzima!
Aliye tayari aniPM.
Masomoni nje ya nchi kuna uhusiano gani na kutafuta mke.. Au ndo kikiMimi umri wangu ni miaka 40. Nilikuwa masomoni nje ya nchi. Natafuta mke.
Niliwahi kuwa na mahusiano na nina watoto wawili na ninawapenda sana.
Dini yangu mkristo. Mke awe mkristo. Umri wa mke kuanzia 25 ila umbile liwe la ki utu uzima!
Aliye tayari aniPM.
Ni mwanaume huyo.Yaaani we bidada ni full burudani, cjui ntakuonaje vile
Ctaki kuamini Miss Natafuta kapigwa kanzu live...Sasa mchumba si ushampata huyo hapo juu? Au ni ndoa ya mitala hii
Yawezekana posts zake utata mtupuNi mwanaume huyo.
Hiyo ni njia ya kujua kama nafasi iko wazi kweli kweli.Weee em tulia, hupendagi multiple choices?, sijui ntapatamooo
Itakuwa hajapigwa kanzu ila anatafuta multiple choices.Ctaki kuamini Miss Natafuta kapigwa kanzu live...
HahahaHiyo ni njia ya kujua kama nafasi iko wazi kweli kweli.
ACHENI UTANI JAMANI KWA KITU,SERIOUS KAMA HII!!!!Sasa mchumba si ushampata huyo hapo juu? Au ni ndoa ya mitala hii
Alafu kweli sijui alipotelea wapi yule mwanamke.
Sio utani mchumba, nimeuliza ili nijue kama bado nafasi iko wazi kweli ili nichangamkie fursa.ACHENI UTANI JAMANI KWA KITU,SERIOUS KAMA HII!!!!
Kumbuka natafuta mwenza wa maisha.Mimi niko huru kila ninayempata namruhusu awe wazi kwangu nami simfichi chochote.HIVYO PAMOJA NA KWAMBA MIMI NINATAFUTA NA BADO SIJAPATA, PIA NA UPANDE WA PILI UNA HAKI YA KUAMUA!!!!Sio utani mchumba, nimeuliza ili nijue kama bado nafasi iko wazi kweli ili nichangamkie fursa.