Natafuta mke mwenye vigezo hivi

Mimi umri wangu ni miaka 40. Nilikuwa masomoni nje ya nchi. Natafuta mke.
Niliwahi kuwa na mahusiano na nina watoto wawili na ninawapenda sana.

Dini yangu mkristo. Mke awe mkristo. Umri wa mke kuanzia 25 ila umbile liwe la ki utu uzima!

Aliye tayari aniPM.
AKINA DADA NAFASI BADO IPO,MSIOGOPE!!!!!!!!!
 
jana niliota nimeingia jf nikakuta mtu anatafuta mke nikapm tukaoana eti nina umbile na kitu uzima kabisa usijali kilo 98 sio mchezo hebu ni pm mkuu tuoane zetu hata kama umetokea bulgaria
Yaaani we bidada ni full burudani, cjui ntakuonaje vile
 
Mkuu tafuta mwenye miaka 30 ndo wapo desperate enoughh wanweza vumilia we kuwa na watoto 2 ila kuanzia 25 hahahaha
Ungekua na mtoto mmoja wangekuskiliza ila anyway goodluck
 
Mimi umri wangu ni miaka 40. Nilikuwa masomoni nje ya nchi. Natafuta mke.
Niliwahi kuwa na mahusiano na nina watoto wawili na ninawapenda sana.

Dini yangu mkristo. Mke awe mkristo. Umri wa mke kuanzia 25 ila umbile liwe la ki utu uzima!

Aliye tayari aniPM.
Na yeye aje na watoto wangapi?
 
Mimi umri wangu ni miaka 40. Nilikuwa masomoni nje ya nchi. Natafuta mke.
Niliwahi kuwa na mahusiano na nina watoto wawili na ninawapenda sana.

Dini yangu mkristo. Mke awe mkristo. Umri wa mke kuanzia 25 ila umbile liwe la ki utu uzima!

Aliye tayari aniPM.
Masomoni nje ya nchi kuna uhusiano gani na kutafuta mke.. Au ndo kiki
 
Sio utani mchumba, nimeuliza ili nijue kama bado nafasi iko wazi kweli ili nichangamkie fursa.
Kumbuka natafuta mwenza wa maisha.Mimi niko huru kila ninayempata namruhusu awe wazi kwangu nami simfichi chochote.HIVYO PAMOJA NA KWAMBA MIMI NINATAFUTA NA BADO SIJAPATA, PIA NA UPANDE WA PILI UNA HAKI YA KUAMUA!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom