Natafuta mke mwema.

Natafuta mke mwema.

hips kumbe ni ishu, wachina ndio maana wataendelea kumeki mingo sana,
hata mimi napenda dem mweye hips
 
Du awe mrembo halafu tena Mlokole, ni Dhehebu gani? maana imeandikwa msisali huku manalia na kupiga kelele ISAYA 42:2 SASA JF utawawezaa? kwanini usiende kwenye mikesha yao? au nikutumie Website zao,
Hawa wa hapa ni kila siku tunafundishana maujanja watakutoka tu ukiwa serious na mabo yako legea hasa miguuni
Usije kunilaani NISHINDWE KWAJINA LA YESU
 
inawezekana kwani usemapo hivyo inaonekana una fahamu uelekeo wenyewe yaani njia sahihi ambayo ni YESU unaijua tayari hio nia ndio inayo wafanyaga watu waokolewe na MUNGU si matendo yao kwani kila mtu kabla hajaokolewa alikutwa na dhambi na ndio maana akaokolewa -hivyo kama wote tulitenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa MUNGU basi tofauti ni NIA zaidi ;pale unapotenda lakini ukatamani usingetenda hiyo ni sababu itakayomfanya MUNGU akutazame na akupe uwezo huo wa KUTOTENDA ambao unautamani-YOU ARE WELCOME DADA!

Ameeeeeen baba, je utajali kama utaniambia watokea mkoa gani na unafanya kazi gani?
 
hakuna mlokole hapa eti tena mwenye mahips ya ukweli wewe ebu usichafue dini bwana mke sio mahipsi wala weupe mke ni MOYO NINA WASIWASI MKUBWA SANA NA IMANI YAKO MAANA HATA SHETANI ANAIJUA BIBLIA MWANZO MWISHO NAHISI WEWE NI AGENT TU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom