Natafuta mke mwema - Muislam

Sawa hakuna shida kumbuka life is very precious and beautiful and you only live once YOLO.

Hahahahh policcm wanafyatua risasi kama vichaa,sijui hakuna adhabu za hawa watumishi kupigana hadharani hivi

Nitajitahidi kuacha kuangalia japo ni ngumu
 
Mkuu gari nalo ni kigezo cha mrembo kukubali ndoa? Likiharibika na gharama za kutengeneza ni kubwa sana ataomba talaka?

Kaa sababu wewe ni graduate na umeajiriwa serikalini utawapata wengi.
Pia umesahau kusema una gari
 
Mkuu gari nalo ni kigezo cha mrembo kukubali ndoa? Likiharibika na gharama za kutengeneza ni kubwa sana ataomba talaka?
Mkuu ukiwa na gari usafiri ni uhakika. Mke anaweza kwend popote anapotaka bila shida. Kama wewe ni mtu wa mahusiana utanielewa tu umuhimu wa gari hata la kuazima mbele ya mwanamke
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mkuu mimi nakupa ushauri wa bure. Gari kwa wadada ni kitu kikubwa mno kuliko hata io elimu yako ulioweka hapo.
Najua utabisha ila kwa mtu mwenye uzoefu wa wanawake anajua umuhimu wa kumfata na gari na kumrudisha na gari kwake nk. Sasa wewe ata uwe n phdna huna mkoko ni kazi buree.

Kama una gari sema una gari utawapata kibao mkui trust me
Ofcoz, swala la elimu ni moja ya consideration ya muhimu unapotafuta mme/mke. Hakukua na umuhimu wa kueleza kama nin gari.
 
Nakubaliana nawe lakini bado sioni kama ni kigezo bora cha kukubali au kukataa kuolewa ikiwa mume mtarajiwa ana sifa zote au asilimia kubwa lakini hana gari basi akapigwa chini kwa kutokuwa na gari.

Mkuu ukiwa na gari usafiri ni uhakika. Mke anaweza kwend popote anapotaka bila shida. Kama wewe ni mtu wa mahusiana utanielewa tu umuhimu wa gari hata la kuazima mbele ya mwanamke
 
Watakuwa ni matapeli tu wasio na nia ya kweli ya ndoa. Basi ataje na mshahara wake na kwenye bank accounts zake ana balance kiasi gani.

Mkuu mimi nakupa ushauri wa bure. Gari kwa wadada ni kitu kikubwa mno kuliko hata io elimu yako ulioweka hapo.
Najua utabisha ila kwa mtu mwenye uzoefu wa wanawake anajua umuhimu wa kumfata na gari na kumrudisha na gari kwake nk. Sasa wewe ata uwe n phdna huna mkoko ni kazi buree.

Kama una gari sema una gari utawapata kibao mkui trust me
 
Watakuwa ni matapeli tu wasio na nia ya kweli ya ndoa. Basi ataje na mshahara wake na kwenye bank accounts zake ana balance kiasi gani.
Kama ni matapeli atawapata tu si kashasema yy ni graduate na anafanya kazi serikalini sasa hapo si atawapata kibao.
Kama angeamua kupata wakwel wasioangalia pesa angesema tu umri wake basi..
 
Habari wana JF,

Mimi ni kijana wa kiume, Miaka 30. Graduate, nimeajiriwa serikalini. Naishi DSM. Dini yangu ni Muislam, mimi ni mstaarabu na nina hofu ya Mungu. Sijawahi kuoa wala sina mtoto. Naamini somewhere out there pia kuna mabinti wengi tu wastaarabu kabisa ambao wanatafuta mme mwema ambae watafungua nae ukurasa mpya wa maisha ya ndoa hatimaye wajenge familia, tatizo tu linakuwa how you two get connected.

Sifa za binti.
Umri: 22- 28 yrs
Dini: Muslim
Elimu: Certificate or Diplomal, ukiwa graduate is an added advantage.
Kabila: Lolote, sio ishu sana kwa dunia ya leo
Ajira: Uwe na ajira, au ni mtu ambaye unaweza kuajirika.
Huna mtoto.
Nafikiri sifa nyengine uta zifaham zaidi kadri tutakavyo fahamiana.
Kama una hisi una sifa hizo na upo serious, karibu PM tafadhali. This is a serious Note, jokes aside please.
Hadi leo mnatafuta wapenzi kwenye mitandao,...elimu,elimu,elimu!
 
Mkuu mimi nakupa ushauri wa bure. Gari kwa wadada ni kitu kikubwa mno kuliko hata io elimu yako ulioweka hapo.
Najua utabisha ila kwa mtu mwenye uzoefu wa wanawake anajua umuhimu wa kumfata na gari na kumrudisha na gari kwake nk. Sasa wewe ata uwe n phdna huna mkoko ni kazi buree.

Kama una gari sema una gari utawapata kibao mkui trust me
Mkuu, mi sitafuti demu wa kupiga tu, natafuta mke atakaye kuja kuwa mama watoto wangu. Huyo mwanamke atakaye nipendea gari hanifai, by the way nime appriciate jinsi unavyotoa hoja zako kistaarabu!
 
Hujui matumizi sahihi ya mitandao, sina cha kuku laumu
Wewe ndio hujui matumizi sahihi ya mtandao,....ndio maana nimekusikitikia,utakao wapata ndio hao hao wenye uelewa mdogo,hadi leo unaona fahari kufanya kazi serikalini,mwanamke gani mwenye akili atahangaika na wewe,...eti awe na diploma na ujinga gani sijui bro badilika aisee,futa tongotongo machoni humo,...hizo degree unazoringia sisi tunazo na tuliisha resign kazi za kitumwa kama unazojitapa hapa,tunafanya mambo yetu...tumieni mitandao kwa akili sio kila kitu mtakipata kwenye mitandao,!... badilika
 
Wewe ndio hujui matumizi sahihi ya mtandao,....ndio maana nimekusikitikia,utakao wapata ndio hao hao wenye uelewa mdogo,hadi leo unaona fahari kufanya kazi serikalini,mwanamke gani mwenye akili atahangaika na wewe,...eti awe na diploma na ujinga gani sijui bro badilika aisee,futa tongotongo machoni humo,...hizo degree unazoringia sisi tunazo na tuliisha resign kazi za kitumwa kama unazojitapa hapa,tunafanya mambo yetu...tumieni mitandao kwa akili sio kila kitu mtakipata kwenye mitandao,!... badilika
Idiot
 
Habari wana JF,

Mimi ni kijana wa kiume, Miaka 30. Graduate, nimeajiriwa serikalini. Naishi DSM. Dini yangu ni Muislam, mimi ni mstaarabu na nina hofu ya Mungu. Sijawahi kuoa wala sina mtoto. Naamini somewhere out there pia kuna mabinti wengi tu wastaarabu kabisa ambao wanatafuta mme mwema ambae watafungua nae ukurasa mpya wa maisha ya ndoa hatimaye wajenge familia, tatizo tu linakuwa how you two get connected.

Sifa za binti.
Umri: 22- 28 yrs
Dini: Muslim
Elimu: Certificate or Diplomal, ukiwa graduate is an added advantage.
Kabila: Lolote, sio ishu sana kwa dunia ya leo
Ajira: Uwe na ajira, au ni mtu ambaye unaweza kuajirika.
Huna mtoto.
Nafikiri sifa nyengine uta zifaham zaidi kadri tutakavyo fahamiana.
Kama una hisi una sifa hizo na upo serious, karibu PM tafadhali. This is a serious Note, jokes aside please.
Laughing Stock.....
 

Similar Discussions

8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom