zaza777
Member
- Feb 6, 2023
- 11
- 30
Naitwa zaza, nina Miaka 23, nina makazi Mbeya, natafuta mke wa kuishi naye uchumba hadi ndoa. Umri asizidi miaka 25, hofu ya Mungu kwake ni kipaumbele kwangu, awe mpambanaji na mwenye kujiheshimu. Awe mkristo vinginevyo awe tayari kubadili dini. Seriously upweke nimechoka.
Karibu inbox kufahamiana zaidi, usije Inbox kama haupo serious please.
Karibu inbox kufahamiana zaidi, usije Inbox kama haupo serious please.