zaza777

Member
Feb 6, 2023
11
30
Naitwa zaza, nina Miaka 23, nina makazi Mbeya, natafuta mke wa kuishi naye uchumba hadi ndoa. Umri asizidi miaka 25, hofu ya Mungu kwake ni kipaumbele kwangu, awe mpambanaji na mwenye kujiheshimu. Awe mkristo vinginevyo awe tayari kubadili dini. Seriously upweke nimechoka.

Karibu inbox kufahamiana zaidi, usije Inbox kama haupo serious please.
 
Naitwa zaza, nina Miaka 23, nina makazi Mbeya, natafuta mke wa kuishi naye uchumba hadi ndoa. Umri asizidi miaka 25, hofu ya Mungu kwake ni kipaumbele kwangu, awe mpambanaji na mwenye kujiheshimu. Awe mkristo vinginevyo awe tayari kubadili dini. Seriously upweke nimechoka.

Karibu inbox kufahamiana zaidi, usije Inbox kama haupo serious please.
Miaka 23 akili yako bado sana kuingia kwenye ndoa bora utulietulie angalau umri usogee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom