Zile soft rambo zilikuwa zinauzwa elfu 1 na kukikuwa na pcs 100 so kila Pc ni Tshs 10, ukienda kununua hata matunda ya 500 muuzaji haoni hasara kukupa mfuko wa Tsh 10, sasa hii inayouzwa kila PC 300 hata mteja akinunua vitu vya 3000 bado ni hasara kutoa mfuko wa 300