Natafuta miche ya mwarobaini wa kisasa

Natafuta miche ya mwarobaini wa kisasa

Karaoke

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2019
Posts
871
Reaction score
1,697
Natafuta miche ya mwarobaini ya kisasa

Nimeiona hiyo miti kwa jirani yangu lakini huko alikonunulia miche wamehama,

Shamba lipo Chalinze, natafuta miche kwa kwa maeneo ya Dar na Pwani
 
Hapana, nadhani imeboreshwa maabara ndio maana inaitwa ya kisasa.
hayo makitu usioteshe yatakupiga hasara ya ukuta na majengo yako mizizi yake ni mibaya sana inapenya kama uzi kwenye tofali na kuanza upanuka hata ukikata na kunyoa kisiki hilo li mzizi lake linachipua tena

kifupi ni hasara halifai hata kwa kuni kwani moshi wake una nuka kama kinyesi
 
hayo makitu usioteshe yatakupiga hasara ya ukuta na majengo yako mizizi yake ni mibaya sana inapenya kama uzi kwenye tofali na kuanza upanuka hata ukikata na kunyoa kisiki hilo li mzizi lake linachipua tena

kifupi ni hasara halifai hata kwa kuni kwani moshi wake una nuka kama kinyesi
Hayo ya kisasa au hata ya asili?
 
hayo makitu usioteshe yatakupiga hasara ya ukuta na majengo yako mizizi yake ni mibaya sana inapenya kama uzi kwenye tofali na kuanza upanuka hata ukikata na kunyoa kisiki hilo li mzizi lake linachipua tena

kifupi ni hasara halifai hata kwa kuni kwani moshi wake una nuka kama kinyesi
mizizi yake inaenea kwa umbali gani? hapo nitakapoipanda kuna umbali wa kama 15M kufikia nyumba.
Na wataalam wanasema miti yote inayovumilia ukame ina mizizi mirefu lakini inatofautiana ukubwa.
 
hayo makitu usioteshe yatakupiga hasara ya ukuta na majengo yako mizizi yake ni mibaya sana inapenya kama uzi kwenye tofali na kuanza upanuka hata ukikata na kunyoa kisiki hilo li mzizi lake linachipua tena

kifupi ni hasara halifai hata kwa kuni kwani moshi wake una nuka kama kinyesi
Kama una utaalam na miti, sio lazima nipate hiyo M40, sifa za miti ninayotaka ni:

1: isiyoliwa na wanyama kama ng'ombe na mbuzi ,kwasababu hilo eneo wachungaji ni wengi.

2: iwe na uwezo wa kuvumilia ukame na magonjwa

3: iwe ina mkaa na mbao nzuri

hiyo M40 ya kisasa inakidhi vigezi hivyo, lakini inawezekana ipo miti ya aina nyingine.
 
hayo makitu usioteshe yatakupiga hasara ya ukuta na majengo yako mizizi yake ni mibaya sana inapenya kama uzi kwenye tofali na kuanza upanuka hata ukikata na kunyoa kisiki hilo li mzizi lake linachipua tena

kifupi ni hasara halifai hata kwa kuni kwani moshi wake una nuka kama kinyesi
Wewe unafahamu anataka kupanda wapi? Sisi mashambani tunaofanya kilimo organic hii ni miti ya lazima sana shambani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom