Mkuu kama ni kugonga nimegonga sana lakini ni holah!Mganga Mkuu ni YESU mwite atakuitikia au gonga mlango atakufungulia.
Njoo inbox nikusaidie na yeyote mwenye shida kama wwNaomba munipatie mganga anayeweza kutibu maradhi ya mazingaombwe ambaye
mgonjwa huyu hataki kusema na mtu yeyote ule nyumbani hata mama ake wa kumzaa.....na vile vile na maradhi mengine