Natafuta mganga wa kienyeji

Natafuta mganga wa kienyeji

CHOLOS

Member
Joined
Jan 11, 2012
Posts
18
Reaction score
11
Naomba munipatie mganga anayeweza kutibu maradhi ya mazingaombwe ambaye
mgonjwa huyu hataki kusema na mtu yeyote ule nyumbani hata mama ake wa kumzaa.....na vile vile na maradhi mengine
 
Naomba munipatie mganga anayeweza kutibu maradhi ya mazingaombwe ambaye
mgonjwa huyu hataki kusema na mtu yeyote ule nyumbani hata mama ake wa kumzaa.....na vile vile na maradhi mengine
Kamwe usidanganyike na waganga wa kienyeji. Nina uhakika afya ya mgonjwa itakuwa mbaya zaidi miezi michache baadaye na anaweza kupoteza maisha ama mtu katika familia yenu atakuwa kafara bila nyie wenyewe kujua chanzo ni nini. Huo ndio mchezo wa shetani kupitia watumishi wake, waganga wa kienyeji.

Tafadhali tafuta mtu wa kweli wa Mungu (Yesu Kristo) amwombee mgonjwa kwa Jina la Yesu naye atapona na pia matatizo mengine yote YEYE atayaondoa.
 
Mpeleke kwa Watumishi wa Mungu hutatoa hata kumi tena sometimes mnaweza kusali kwa simu tu! Ukiwa tayari nitakupa namba tena wako Arusha, Tanga, DSM au Mbeya!

Binti yangu mwaka 2016 akiwa standard seven alipata shida ya kuanguka yaani anakua possessed kipindi hicho alikua anasoma Bunge Primary School, siku moja wakawa wameenda pale Luther House Posta kuombewa kwa ajili ya mitihani yao LA kumaliza! Aiseeee mapepo yalilipuka vibaya mno!

Unaambiwa aliongea vitu vingi sana unconsciously basi yalivyotoka baadae mida ya SAA sita mchana nikapigiwa simu na namba ngeni, nikapokea akajitambulisha kwangu kama mchungaji wa KKKT akanihoji hivi kuhusu mtoto basi jioni nikaenda nikaonana nae!

Kwa kifupi binti yangu alipona na hadi sasa ile hali haijawahi kumrudia tena though niliwapigia pia wahusika maana aliwataja kuwa "hatutaki usome maana baba yako anakupenda na anaringa sana"!!

OK, kwa kifupi yuko poa so unaweza ku-opt pia njia hio kama imani yako inakuruhusu
 
Kwa watumishi wa mungu wale wagonjwa woote unaowaona mbele ya watumishi wamepangwa ugonjwa wa uongo ili wazidi kupata sadaka na kukubalika mbona watumishi wa mungu na manabii hawaendi bugando muhimbili kcmc iloganzala kufanya maombi na wagonjwa woote wainuke kitandani
 
Mimi mganga wa Kienyeji mzoefu hapa Kapalangamsenga Katavi Naomba uje Pm kwani nitakutibu ndani ya saa Mbili tu matokeo nje nje
 
Mpeleke kwa Watumishi wa Mungu hutatoa hata kumi tena sometimes mnaweza kusali kwa simu tu! Ukiwa tayari nitakupa namba tena wako Arusha, Tanga, DSM au Mbeya!

Binti yangu mwaka 2016 akiwa standard seven alipata shida ya kuanguka yaani anakua possessed kipindi hicho alikua anasoma Bunge Primary School, siku moja wakawa wameenda pale Luther House Posta kuombewa kwa ajili ya mitihani yao LA kumaliza! Aiseeee mapepo yalilipuka vibaya mno!

Unaambiwa aliongea vitu vingi sana unconsciously basi yalivyotoka baadae mida ya SAA sita mchana nikapigiwa simu na namba ngeni, nikapokea akajitambulisha kwangu kama mchungaji wa KKKT akanihoji hivi kuhusu mtoto basi jioni nikaenda nikaonana nae!

Kwa kifupi binti yangu alipona na hadi sasa ile hali haijawahi kumrudia tena though niliwapigia pia wahusika maana aliwataja kuwa "hatutaki usome maana baba yako anakupenda na anaringa sana"!!

OK, kwa kifupi yuko poa so unaweza ku-opt pia njia hio kama imani yako inakuruhusu
Ndugu weka namba kwa faida ya wengi
 
Nimeishia kucheka tu
Kwa watumishi wa mungu wale wagonjwa woote unaowaona mbele ya watumishi wamepangwa ugonjwa wa uongo ili wazidi kupata sadaka na kukubalika mbona watumishi wa mungu na manabii hawaendi bugando muhimbili kcmc iloganzala kufanya maombi na wagonjwa woote wainuke kitandani
 
Ndugu weka namba kwa faida ya wengi
Huyu Dada Anita yeye ni Kipofu! Na huo upofu aliupata kutokana na shida za uchawi na mazindiko! OK ana historia ndefu kwahio usimtumie sms hataweza kuisoma! Anaishi kwa ushuhuda and utabarikiwa Sana. Huyu wa Azania alishahama yuko Tabata KKKT nadhani sasa, nilishahama Dar kwahio sina mawasiliano nae! Namba hizo hapo Brethren
Screenshot_20191209-142826.jpeg
 
Mpeleke kwa Watumishi wa Mungu hutatoa hata kumi tena sometimes mnaweza kusali kwa simu tu! Ukiwa tayari nitakupa namba tena wako Arusha, Tanga, DSM au Mbeya!

Binti yangu mwaka 2016 akiwa standard seven alipata shida ya kuanguka yaani anakua possessed kipindi hicho alikua anasoma Bunge Primary School, siku moja wakawa wameenda pale Luther House Posta kuombewa kwa ajili ya mitihani yao LA kumaliza! Aiseeee mapepo yalilipuka vibaya mno!

Unaambiwa aliongea vitu vingi sana unconsciously basi yalivyotoka baadae mida ya SAA sita mchana nikapigiwa simu na namba ngeni, nikapokea akajitambulisha kwangu kama mchungaji wa KKKT akanihoji hivi kuhusu mtoto basi jioni nikaenda nikaonana nae!

Kwa kifupi binti yangu alipona na hadi sasa ile hali haijawahi kumrudia tena though niliwapigia pia wahusika maana aliwataja kuwa "hatutaki usome maana baba yako anakupenda na anaringa sana"!!

OK, kwa kifupi yuko poa so unaweza ku-opt pia njia hio kama imani yako inakuruhusu
Mmmh!.. hayasemeki
.humu watu wapo kimya ila...
 
Waganga wa aina mbili humu wanachuana wale wa miziziology na wale "watu wa mungu"
 
Naomba munipatie mganga anayeweza kutibu maradhi ya mazingaombwe ambaye
mgonjwa huyu hataki kusema na mtu yeyote ule nyumbani hata mama ake wa kumzaa.....na vile vile na maradhi mengine


Ni mkeo mkuu?
 
Karibu karibu tatizo lako limeisha mimi ni mganga bingwa toka bagamoyo.
Niletee machozi ya simba na maziwa ya simba mjane tatizo lako litabaki historia.
 
Back
Top Bottom