Natafuta mganga wa jadi

Natafuta mganga wa jadi

kwa ukaguzi wa hapo chini...sijui kama utafanikiwa...

xx.PNG

Yaaalahhh.... Kwa mtaji huu naanza kupoteza matumaini....
 
maisha haya,kuna wanaochukua njia ndefu na wengne watakao shortcut...njia ndefu inachosha ila ukivumilia matunda utayala baadae,lazima..shortcut iko fasta,unakula matunda rait now ila baadae matatizo yanakuja..i wont judge you kwa sababu najua una akili timamu na hii ndio decision uliyoamua kuichukua,ntakushauri uifikirie tena ila if not kuna vibao kibao kwenye miti na nguzo za umeme cku hizi,kama vpi jaribu zote
 
Sabalkheri Mabibi na Mabwana wa Jamiiforums.
Nimekuwa msomaji wa tovuti hii kwa kiasi cha muda na sasa nimeonelea vyema kujiunga nanyi.
Natafuta mganga mzuri wa jadi awezae kazi na sio mwenye maneno matupu, najua humu wapo watu kadha wa kadha waliowahi pata mitihani ya maisha na kwenda kuongea na mizimu na kupata ufumbuzi wa jambo husika.
Mimi ni mjasiriamali na napatikana morogoro na kusafiri naweza.
Kwa yoyote alie na mawasiliano na mganga mzuri tafadhali nitumie mawasiliano yake kwa PM. ukinisaidia na nikapata ufumbuzi nitakupatia zawadi.
Ni hayo tu kwa leo.
Eleza shida yako unasemaje? unaweza kunitafuta kwa njia ya baruwa ya pepe Email yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com

Mzizimkavu naweza mpata wapi mkuu.
nitafute kwa njia ya baruwa ya pepe Email yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com
 
Eleza shida yako unasemaje? unaweza kunitafuta kwa njia ya baruwa ya pepe Email yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com

nitafute kwa njia ya baruwa ya pepe Email yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com

Mzizi mkavu mie langu dogo sana,nna watoto wakiume watupu yani kila nikijaribu mpaka nimechoka nnao 6 twins wote.
Natamani wa kike japo mmoja utanisaidiaje?lol
 
Pole ndugu, mimi nakushauri,nenda kwa bwana yesu, mizimu na waganga watakuharibu kabisa, yesu ni jibu la matatizo yako,
 
Mzizi mkavu mie langu dogo sana,nna watoto wakiume watupu yani kila nikijaribu mpaka nimechoka nnao 6 twins wote.
Natamani wa kike japo mmoja utanisaidiaje?lol

Tatizo sio kwako. liko kwa mkeo. Hakuna hhaja kwa jambodogo kama hilo muandamane na shemeji mpaka huku niliko. wewe endelea na shughuli zako ila mpe shemeji nauli ya kujia tu wakati wa kurudi nitampa lift maana nina safar ya Moro wk ijauo. ukifanikiwa utanipa hela zangu
 
Tatizo sio kwako. liko kwa mkeo. Hakuna hhaja kwa jambodogo kama hilo muandamane na shemeji mpaka huku niliko. wewe endelea na shughuli zako ila mpe shemeji nauli ya kujia tu wakati wa kurudi nitampa lift maana nina safar ya Moro wk ijauo. ukifanikiwa utanipa hela zangu

hilo swala haiitaji mganga wa jadi muone daktari wa kisayansi akuelezee kwa kina siku gani ukimuiingilia mkeo kuna uwezekani mkubwa wa kupata mtoto wa kike?? Thats ol.
 
Subiri semina elekezi imalizike dodoma babu Kingunge ni baba lao na yuko Dom kuwawakilisha wenzie
 
KWangu mm inategemea na aina ya tatizo maana kuna aina tatu,rizik na kazi,fitna na husda ,na maradhi ya kichawi kwa vyote hivyo lazima kipato kipungue sababu utagharamika tu.kuna jamaa angu ana walokole wawili wanangurumisha balaa na ni cheap tu sh 20000 ya nauli.
 
nafikiri yule wa kule malawi ndio mzuri alimwagiza mtu aende msituni nyeti zake ziliwe na fisi atapata utajiri
 
posho, mganga hatakusaidia badala yake utaongezewa matatizo mengine, mpekee Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yako na hizo shida zako zote mwambie yeye atakusaidia, tafadhali usiende huko kwa mganga, mwamini Mungu omba kwa imani matatizo yako yote yataisha. Soma Biblia Yeremia 33.3
 
Haya madhara yatokanayo na kutokumuona Mungu, kwa muda mrefu. Expriencing God through his powers and actions matters alot in our lives. Kadiri tuishivyo, tutazidi kupitia changamoto ktk maisha until we have powers and ability to deal with the devil and his powers.
Mungu yupo na ni halisi (God is real) through Jesus Christ. This is true and Amen, whether you believe or not.

Watu wengi hawaamini kwamba Mungu anaweza yote, na hii inatokana na malezi na makuzi tunayopitia ktk maisha. Watu wa karibu wanachoamini kina husika sana.

Mtoa mada, mi nakushauri mpokee Bwana Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yako, the omba na mahitaji yako yatatimizwa na utajiri na heshima yako itadumu, maana vya Mungu hudumu kama yeye adumuvyo. Achana na njia za mikato, mali zake nazo huisha hivyo hivyo kimkato mkato. Mungu yupo na anafanya hata sasa. Imani yake kwake tu ndio inayo hitajika, kama unavyo amini waganga wa kienyeji na huo ushirikina. Yesu alisema njooni kwangu ninyi nyote msumbukao na kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha. Come to Jesus and he will accept you.
Ikumbukwe kwamba.
Mungu ni Roho na shetani pia ni roho, Mungu anahitaji watu na shetani pia anataka watu ili ku-operate duniani. Mchague Mungu katika Kristo Yesu nawe uishi kwa Amani na Mungu apate utukufu, chagua shetani na kundi lake (waganga wa kienyeji) ukaribishe laana na mauti nyumbani kwako. Kumbuka Mungu ni mwenyezi kila kitu ni chake lakini anatupa sisi kuchagua kati yake, shetani au kuishi kivyetu.

Tafadhali mpokee Yesu awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako(okoka sasa), naye atakuweka huru na kukupa kila haja ya moyo wako siku kwa siku na pia kukuhakishia uzima wa milele baada ya maisha haya. It may not seem to make sense, but remember God does not make sense, human intelligence has failed to comprehend and apprehend him, and besides, most of the things of God are controversal, even his servants are controverse too. But he remains to be the Lord and saviour and no one can change that.

cc @Uwoga umasikini, NGULI
 
Last edited by a moderator:
Uislamu unakataza shirki na Uchawi...kuna watu wengi wa dini flani wamekua wakifanya maombi kila mwaka nchini Nigeria. Tuambieni Nigeria ni makao makuu ya Dini gani?
 
Haya madhara yatokanayo na kutokumuona Mungu, kwa muda mrefu. Expriencing God through his powers and actions matters alot in our lives. Kadiri tuishivyo, tutazidi kupitia changamoto ktk maisha until we have powers and ability to deal with the devil and his powers.
Mungu yupo na ni halisi (God is real) through Jesus Christ. This is true and Amen, whether you believe or not.

Watu wengi hawaamini kwamba Mungu anaweza yote, na hii inatokana na malezi na makuzi tunayopitia ktk maisha. Watu wa karibu wanachoamini kina husika sana.

Mtoa mada, mi nakushauri mpokee Bwana Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yako, the omba na mahitaji yako yatatimizwa na utajiri na heshima yako itadumu, maana vya Mungu hudumu kama yeye adumuvyo. Achana na njia za mikato, mali zake nazo huisha hivyo hivyo kimkato mkato. Mungu yupo na anafanya hata sasa. Imani yake kwake tu ndio inayo hitajika, kama unavyo amini waganga wa kienyeji na huo ushirikina. Yesu alisema njooni kwangu ninyi nyote msumbukao na kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha. Come to Jesus and he will accept you.
Ikumbukwe kwamba.
Mungu ni Roho na shetani pia ni roho, Mungu anahitaji watu na shetani pia anataka watu ili ku-operate duniani. Mchague Mungu katika Kristo Yesu nawe uishi kwa Amani na Mungu apate utukufu, chagua shetani na kundi lake (waganga wa kienyeji) ukaribishe laana na mauti nyumbani kwako. Kumbuka Mungu ni mwenyezi kila kitu ni chake lakini anatupa sisi kuchagua kati yake, shetani au kuishi kivyetu.

Tafadhali mpokee Yesu awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako(okoka sasa), naye atakuweka huru na kukupa kila haja ya moyo wako siku kwa siku na pia kukuhakishia uzima wa milele baada ya maisha haya. It may not seem to make sense, but remember God does not make sense, human intelligence has failed to comprehend and apprehend him, and besides, most of the things of God are controversal, even his servants are controverse too. But he remains to be the Lord and saviour and no one can change that.

cc @Uwoga umasikini, NGULI

Asante baba Mchungaji kwa kumsaidia huyu jamaa aache kutapeliwa na kupewa mapepo mimi binafsi siiaminigi huu upuuzi wa waganga wa kienyeji. Namshauri aje hapo kanisani kwako Efata aje apate neno. Shallom
 
Back
Top Bottom