Natafuta mganga wa jadi

Natafuta mganga wa jadi

Yesu alikua Binadamu akila na akienda kunya mavi na kukojoa chooni...hana uwezo wa kutatua matatizo ya kiumbe chochote!

hebu pata elimu hii inaweza kuwa msaada kwako.
Ni kweli kabisa Yesu Alikuwa binadamu kama mimi na wewe.
Yesu alikuwepo kabla ya kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu huu soma mithali 8:22-31. katika kuumbwa kwako mimi ya wewe ndiye aliyefanya kazi ya kukufinyanga. ndiye fundi stadi. Yesu ni Mungu Yohana 1:1-12 na alikuwepo kabla ya wewe kumuona katika maandishi ya agano jipya.

Elewa kwamba legal entry to this planet, is the womb of the woman. No thing from the outer space come and live here. Spirits are not allowed to operate on earth realms this is the rule of creation, when God created the earth he gave it to man, it is man who can operate on earth. For God or Devil (spirits) to operate on earth human body is needed. whoever one submit to the same operate through you.
For God to save humanity, Jesus was to be bone through the womb of a woman like you and I. Who Jesus became after resurection, and when he rose to heanen promising to come back for Judgement. When he finished his purpose he rose up to heaven before the eyes of the his desciples. Jesus lives and any time we call his name he comes to take care of business.
Existence of Jesus on Earth for 30 years, was God himself, came and dwell among us. Believe or not.
Ni nabii gani aliye hai mpaka leo? wote walikufa na wakalala milele, but the Lord Jesus Lives.
Mention the name of the Lord Jesus and the devil must react, because of its power.
 
MTafute muwakilishi wao kwenye bunge la katiba Kingunge Ngomballe Mwillu atakuunganisha!!!
 
Mzizi mkavu mie langu dogo sana,nna watoto wakiume watupu yani kila nikijaribu mpaka nimechoka nnao 6 twins wote.
Natamani wa kike japo mmoja utanisaidiaje?lol
Pole sana watu huku Ulaya wanataka watoto wa kiume wewe

umechoka unataka watoto wa kike kasheshe kweli. Ninakupa ujuzi fanya hivi fuatilia siku za mzunguko wa

mke wako mwanzo wake wa siku anayopata damu ya hedhi. Uhesabu ndio siku ya kwanza uendelee

kuhesabu mpaka ikifika siku 10 au siku ya 11 tangu alipoanza kutowa damu yake ya hedhi. Ndio waweza

kufanya nae mapenzi na ukifanya nae mapenzi usifanye nae tena mapenzi mpaka apate siku zake mwezi

unaokuja tena. Ndio anaweza kushika mimba ya mtoto wa kike mbona kushika mimba ni rahisi kuliko

mtoto wa kiume.
 
Pole sana watu huku Ulaya wanataka watoto wa kiume wewe

umechoka unataka watoto wa kike kasheshe kweli. Ninakupa ujuzi fanya hivi fuatilia siku za mzunguko wa

mke wako mwanzo wake wa siku anayopata damu ya hedhi. Uhesabu ndio siku ya kwanza uendelee

kuhesabu mpaka ikifika siku 10 au siku ya 11 tangu alipoanza kutowa damu yake ya hedhi. Ndio waweza

kufanya nae mapenzi na ukifanya nae mapenzi usifanye nae tena mapenzi mpaka apate siku zake mwezi

unaokuja tena. Ndio anaweza kushika mimba ya mtoto wa kike mbona kushika mimba ni rahisi kuliko

mtoto wa kiume.
Shukran....
 
kapate dawa nyingi me nilienda kwa mama moja na sasa nina mtoto wa kike
 
Sabalkheri Mabibi na Mabwana wa Jamiiforums.
Nimekuwa msomaji wa tovuti hii kwa kiasi cha muda na sasa nimeonelea vyema kujiunga nanyi.
Natafuta mganga mzuri wa jadi awezae kazi na sio mwenye maneno matupu, najua humu wapo watu kadha wa kadha waliowahi pata mitihani ya maisha na kwenda kuongea na mizimu na kupata ufumbuzi wa jambo husika.
Mimi ni mjasiriamali na napatikana morogoro na kusafiri naweza.
Kwa yoyote alie na mawasiliano na mganga mzuri tafadhali nitumie mawasiliano yake kwa PM. ukinisaidia na nikapata ufumbuzi nitakupatia zawadi.
Ni hayo tu kwa leo.

Nenda Lindi sehemu inaitwa Ngende, muulizie Bibi MPIGAMITI
 
Back
Top Bottom