juliano norman
Member
- Dec 17, 2015
- 41
- 4
- Thread starter
- #21
ningeweza fanya hvyo lakin tatzo simu yangu haina uwezo wa kutuma na ku-upload mods na hata photo ila naomba nieleweke tu kwa yeyote atakaekuwa tayari anambie halafu nimtafute then ntamuwasilishia uthibitishoShida yako halafu unasubiri utafutwe..... utasubiri sana.
Mwenye shida angejieleza vyema na kuweka vithibitisho. Hata kwa kuwatumia mods ilikujiridhisha...hapo ungesaidiwa....
Anyway.....endelea kusubiri