daisyvicky
JF-Expert Member
- Sep 22, 2012
- 343
- 198
- Thread starter
- #41
mmoja anakutosha...... zaidi ya mmoja watakuconfuse na kukumix, lol!
kila la heri
hahah mi napenda wawili mdada na mkaka.thanx mumy
mmoja anakutosha...... zaidi ya mmoja watakuconfuse na kukumix, lol!
kila la heri
Sasa wewe nwenyewe ulisha chagua sasa kibwagizo cha nini unatuzuga utaletewa walimu wapo hapo tena mahili na wenye heshima zao na ujuzi na wengine wamemfundisha Mentor au wewe unata huyo huyo MENTOR VEROSSA??
salama KakaKiiza?Sasa wewe nwenyewe ulisha chagua sasa kibwagizo cha nini unatuzuga utaletewa walimu wapo hapo tena mahili na wenye heshima zao na ujuzi na wengine wamemfundisha Mentor au wewe unata huyo huyo MENTOR VEROSSA??
Naona hii ni tungo tata!labda hatujaelewana mkuu..kwa kusema "nilishachagua" unamaanisha nini?
Naona kapata ila mimi sijambo je wewe mzima!salama KakaKiiza?
amesema alishapata, labda kama sasa anataka Mentor wa mambo mengine, lol!
mimi mzima kabisaaaNaona kapata ila mimi sijambo je wewe mzima!
Shikamooni wakuu..hope wote mpo salama.mbarikiwe sana,mimi ni graduate,natafuta mentors especially waliosomea business related courses na ikiwa marketing itakua vizuri zaidi.Pia wenye uzoefu au wamewahi kua walimu WA vyuo..kwa sababu ni moja ya vitu navopenda.
Umri wowote.
Gender yoyote.
Nashukuru sana in advance.