NTAKILUTA NDATO
Member
- Jun 19, 2015
- 25
- 4
Ndugu Wana JF,
Nimejitokeza Kuomba Ushauri Na Msaada Wenu.
Mimi Ni Mjasiriamali Mdogo Ambaye Nimejaribu Sana Kwa Kutafuta Na Kuomba Mtaji Lakini Sijapata Mwanga Ninaohitaji.
Naomba Mnisaidie Namna Rahisi Ya Kupata Mkopo Ukizingatia Sina Mali Wala Mdhamini Kunidhamini Katika Jambo Ninalohitaji Zaidi Ya Ubunifu Wangu Na Macho Ya Aamuaye Kuwa Karibu Yangu.
NAOMBA USHAURI NA MSAADA WENU.
Mawasiliano 0714687581
Ahsanteni.
Nimejitokeza Kuomba Ushauri Na Msaada Wenu.
Mimi Ni Mjasiriamali Mdogo Ambaye Nimejaribu Sana Kwa Kutafuta Na Kuomba Mtaji Lakini Sijapata Mwanga Ninaohitaji.
Naomba Mnisaidie Namna Rahisi Ya Kupata Mkopo Ukizingatia Sina Mali Wala Mdhamini Kunidhamini Katika Jambo Ninalohitaji Zaidi Ya Ubunifu Wangu Na Macho Ya Aamuaye Kuwa Karibu Yangu.
NAOMBA USHAURI NA MSAADA WENU.
Mawasiliano 0714687581
Ahsanteni.