Natafuta mdau wa kushirikiana naye kwenye biashara yangu ya microfinance

chriss salez

New Member
Sep 10, 2019
4
9
Wadau, mimi ni kijana na ninae jishughulisha na utoaji wa huduma ya mikopo. Ofisi yangu ilianzishwa mwaka 2022 mwezi wa 3 na nimefanya usajili na kuendelea kutoa huduma ya mikopo midogo kwa wajasiriamali wadogo. Kiasi cha mikopo huwa ni kuanzia elfu 50 mpaka laki 5, inategemea na uwezo wa urejeshaji wa mteja na thamani ya dhamana zake. Biashara ni nzuri, ingawa ina changamoto nyingi sana. Hata hivyo, kutokana na uzoefu na umakini, tunazitatua changamoto hizo.

Changamoto kubwa tuliyonayo ni idadi kubwa ya wateja ambao inafanya mtaji uwe mdogo. Nimekuja kwenu wadau kuona namna gani naweza kupata mtu mwenye uwezo mkubwa wa kuwekeza pesa ili tufanye naye biashara. Kwa sasa, ofisi ipo Sumabawanga mjini, lakini tunalenga kwenda mbali zaidi. Namba yangu ya simu ni 0676211111 na pia nipo kwenye WhatsApp. Tunaweza kujadili na kushirikishana business plan yetu.

Karibu!
fungamwango.jpg
 
Hongera sana unaweza nao vipi? Wateja wako maana wako wengine ukishawakopesha tu unaanza kuvurugikiwa na kutetereka na usipokuwa makini unaweza kufilisika total, infact others customer are witches?, kudai unashinda kumfuata unashindwa, kuuza dhamana unahofia maisha yako, alimradi tabu sana.
 
Kama una vibali vyote tunaweza kufanya biashara ila Kama utaridhia tubadilishe jina la biashara
 
  • Thanks
Reactions: amu
Nina uzoefu na hiyo biashara,
Kama hutojali tunaweza kusaidiana kutatua hizo changamoto za moja kwa moja.
 
Mkuu nina swali....what is the minimum core capital ya kuanzisha a deposit taking microfinance bank in Tanzania. Ninapata conflicting figures mara Tsh 20 Million mara Tsh. 5Billion.

Huku Kenya a deposit taking micro finance bank with 1 branch ni Tsh. 400M while a country wide one ni Tsh. 1.8 Billion

Hiyo ni deposit taking na ziko regulated na central banks....lakini non-deposit taking haziko regulated na hazina minimal capital requirements.

Sent from my SM-G960F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu nina swali....what is the minimum core capital ya kuanzisha a deposit taking microfinance bank in Tanzania. Ninapata conflicting figures mara Tsh 20 Million mara Tsh. 5Billion.

Huku Kenya a deposit taking micro finance bank with 1 branch ni Tsh. 400M while a country wide one ni Tsh. 1.8 Billion

Hiyo ni deposit taking na ziko regulated na central banks....lakini non-deposit taking haziko regulated na hazina minimal capital requirements.

Sent from my SM-G960F using JamiiForums mobile app
Nichek WhatsApp tunaweza kuongea vizuri kaka +255676211111
 
Back
Top Bottom