Edgartz
JF-Expert Member
- Feb 26, 2010
- 241
- 22
okay.sawa, mie bwana usikute niko jirani kabisa na wewe ,kwani wee unaishi wapi.
Acha usanii we mtoto we c ujibu?
okay.sawa, mie bwana usikute niko jirani kabisa na wewe ,kwani wee unaishi wapi.
wapwa na mabinamu zangu babu na mabibi,jana usiku nimepata maono,nimeoneshwa kuwa mwenza wangu yuko hapa jamii forum.
Nimeoneshwa taswira ya mwenza wangu kwa mbali lkn sura sijaiona vizuri ila nakumbuka ktk maono nilimuona kavaa shati la kitenge na viatu vya four angel,mara ghafla akavaa kwa style niipendayo ya jeans na tshirt na raba nikachanganyikiwa.
Niko ktk maombi kumuomba 'roho' anitafsirie haya maon sababu siko singo lkn ktk maoni roho anasisitiza mwenza wangu yuko hapa.
''NAKUTAFUTA WEWE ULIYEOTESHWA KUWA I CHEUSIMANGALA NIMETOLEWA UBAVUNI MWAKO''
LUV YOU ALL
Acha usanii we mtoto we c ujibu?
mweee mama gaude wangu kesha ukiniombea mke wangu mumeo nawindwa na ndoto za kila aina za mabinti wa humu JF....inshalaa tarehe 7 th Dec sio mbali..rudii mama gaude wangu ....mlango uko wazi
sweetheart unaonekana hupendi hata nikutanie wakati mwenzio mie ni mtu wa kufurahi furahi na kupenda utani,mwenzio nimetaka nikutanie kidogo halafu ndio nikwambie lkn naona kama umekasirika kidogo.
nisamehe my love.
wapwa na mabinamu zangu babu na mabibi,jana usiku nimepata maono,nimeoneshwa kuwa mwenza wangu yuko hapa jamii forum.
Nimeoneshwa taswira ya mwenza wangu kwa mbali lkn sura sijaiona vizuri ila nakumbuka ktk maono nilimuona kavaa shati la kitenge na viatu vya four angle,mara ghafla akavaa kwa style niipendayo ya jeans na tshirt na raba nikachanganyikiwa.
Niko ktk maombi kumuomba 'roho' anitafsirie haya maon sababu siko singo lkn ktk maoni roho anasisitiza mwenza wangu yuko hapa.
''NAKUTAFUTA WEWE ULIYEOTESHWA KUWA I CHEUSIMANGALA NIMETOLEWA UBAVUNI MWAKO''
LUV YOU ALL
doooh sasa mimi sijui vipi naanza kuona wivu tena kwa tangazo lako hili,mama chanja akishtuka atanichinja walai.
he hee hapo bila bila ila karoho kananiuma,ni nini kimekukumba vile d?halafu sasa mie ukimtaja mama chanja wako natamani kufa huku kwa mawivu.
he hee hapo bila bila ila karoho kananiuma,ni nini kimekukumba vile d?
hamna kilichonikumba d,ila nimeona wewe tayari una mama chanja,na mie ntafute baba chanja wangu ili ngoma iwe droo,naona kama unanidhulumu vile.
tatizo lako nimegundua unapenda sana utani wakati watu tunataka kufanya kweli, sifa zote ulizotaja ni sawa kwa jinsi ulivyoonyeshwa, nakupa mawasiliano lakini wapi, usifanye hivyo wengine tunataka kweli wewe unataka ligi, nijibu tuanze mawasiliano
Mapenzi yananivunja mgongoo ooh mamaaa...
Mapenzi yananivunja mgongoo ooh mamaaa...
Warning!
kaizer nilidhani ushalala nikaona bora nibadilishane mawili matatu hapa na kaka babukijana.
LOL
"Mbwa haibi nyumbani" Wise...
How have u been? , missing here just the way I have been......?