natafuta mchumba,,,,,

wapwa na mabinamu zangu babu na mabibi,jana usiku nimepata maono,nimeoneshwa kuwa mwenza wangu yuko hapa jamii forum.
Nimeoneshwa taswira ya mwenza wangu kwa mbali lkn sura sijaiona vizuri ila nakumbuka ktk maono nilimuona kavaa shati la kitenge na viatu vya four angel,mara ghafla akavaa kwa style niipendayo ya jeans na tshirt na raba nikachanganyikiwa.
Niko ktk maombi kumuomba 'roho' anitafsirie haya maon sababu siko singo lkn ktk maoni roho anasisitiza mwenza wangu yuko hapa.
''NAKUTAFUTA WEWE ULIYEOTESHWA KUWA I CHEUSIMANGALA NIMETOLEWA UBAVUNI MWAKO''
LUV YOU ALL

mweee mama gaude wangu kesha ukiniombea mke wangu mumeo nawindwa na ndoto za kila aina za mabinti wa humu JF....inshalaa tarehe 7 th Dec sio mbali..rudii mama gaude wangu ....mlango uko wazi
 
Acha usanii we mtoto we c ujibu?

sweetheart unaonekana hupendi hata nikutanie wakati mwenzio mie ni mtu wa kufurahi furahi na kupenda utani,mwenzio nimetaka nikutanie kidogo halafu ndio nikwambie lkn naona kama umekasirika kidogo.
nisamehe my love.
 
mweee mama gaude wangu kesha ukiniombea mke wangu mumeo nawindwa na ndoto za kila aina za mabinti wa humu JF....inshalaa tarehe 7 th Dec sio mbali..rudii mama gaude wangu ....mlango uko wazi

umenichekesha sana.
kweli bora mama Gaude arudi.
 
sweetheart unaonekana hupendi hata nikutanie wakati mwenzio mie ni mtu wa kufurahi furahi na kupenda utani,mwenzio nimetaka nikutanie kidogo halafu ndio nikwambie lkn naona kama umekasirika kidogo.
nisamehe my love.

Nimekusamehe kipenzi cha roho yangu haya basi mpendwa hebu niambie unakaa wapi my dear!
 
doooh sasa mimi sijui vipi naanza kuona wivu tena kwa tangazo lako hili,mama chanja akishtuka atanichinja walai.
 
wapwa na mabinamu zangu babu na mabibi,jana usiku nimepata maono,nimeoneshwa kuwa mwenza wangu yuko hapa jamii forum.
Nimeoneshwa taswira ya mwenza wangu kwa mbali lkn sura sijaiona vizuri ila nakumbuka ktk maono nilimuona kavaa shati la kitenge na viatu vya four angle,mara ghafla akavaa kwa style niipendayo ya jeans na tshirt na raba nikachanganyikiwa.
Niko ktk maombi kumuomba 'roho' anitafsirie haya maon sababu siko singo lkn ktk maoni roho anasisitiza mwenza wangu yuko hapa.
''NAKUTAFUTA WEWE ULIYEOTESHWA KUWA I CHEUSIMANGALA NIMETOLEWA UBAVUNI MWAKO''
LUV YOU ALL

dah mi humo kwenye hiyo ndoto hata simo.....mi najua nitakuwa kwenye ndoto ya yule mwenye afro
 
tatizo lako nimegundua unapenda sana utani wakati watu tunataka kufanya kweli, sifa zote ulizotaja ni sawa kwa jinsi ulivyoonyeshwa, nakupa mawasiliano lakini wapi, usifanye hivyo wengine tunataka kweli wewe unataka ligi, nijibu tuanze mawasiliano
 
Mie kwanza nimeipenda "figure yako km inavyoonekana ktk avatar" uliyoweka.

Sasa km uko design km hiyo nitumie msg private tulonge.

tukionana tutaweza kujuana kwa undanizaidi.
 
tatizo lako nimegundua unapenda sana utani wakati watu tunataka kufanya kweli, sifa zote ulizotaja ni sawa kwa jinsi ulivyoonyeshwa, nakupa mawasiliano lakini wapi, usifanye hivyo wengine tunataka kweli wewe unataka ligi, nijibu tuanze mawasiliano

sitanii,niko serious,ila nimegundua wewe umevutiwa na avatar yangu,na mie sifanani hata kwa 1% na hiyo avatar,naogopa nikijionesha kwako nitaku-disappoint.mie shepu yangu iko kipatel zaidi.
 
Back
Top Bottom