Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,555
- 1,960
Wadau kwangu mimi uchumi si tatizo isipokuwa tatizo linalo fanya nitafute mchumba na kuooa nikuhusu usimamizi wa mali zangu nyumbani pamoja na baadhi ya vitega uchumi imekuwa tatizo maana nimeajiri watu wananiibia kwasababu niko bize na kazi muda mwingi ndo maana nika amua kufanya maamuzi kama haya maana maisha ya upweke nayo ni gumzo nyumba kubwa unaishi peke yako ni shida but nashukuruni kwa maoni wana Jf wenzangu kama nakosea mnambie wakubwa zangu but hayo ndo maamuzi yangu na sababu ndo kama nvo ielezea maana coment nyingi nimesoma zinauliza miaka 23 unataka kuoa? ila tuko pamoja wakubwa mi kuhusu utafutaji nsha wekeza so kwangu si shida sana.Siku njema wadau.
Mkuu kwanza nikupe pole kwa kuwa mpweke, ila njia unayotumia kutafuta au kuondoa upweke hapa ndipo shida inapoanzia,,
Huu usumbufu unaousema ni rasharasha sasa tafuta humu watakuja wengi mpaka utashindwa kuchagua, ila sasa mgogoro utakapoanza kuishi nao, kunasiku utaleta mada hapa ya nifanyeje nmuache huyu mke??
Sabab ndogo nnayo kupa utamwamini?? Je unajua amekutana na wa2 wangapi?? Unafaham kwa nin kakupm? Je atakuwa na mlengo kama wako??
N vyema kuwanna tahadhari kubwa, hata hvyo maelezo yako n kivutio tosha kwa akina dada maana wanapenda kutengenezewa ili wafaidi kwa urahisi. Kila raheri mkuu