Natafuta mchumba

Mfano mzuriii humuuu humuuu jf wapo wenye kujiheshimu na wasojiheshimu pia wapo wenye akili na virazaaa siunajuaaa hakuna alie mkamilifuuu

Mbona wewe hujaweka sifa zako wadada wakufanyie vetting?
 
Mfano mzuriii humuuu humuuu jf wapo wenye kujiheshimu na wasojiheshimu pia wapo wenye akili na virazaaa siunajuaaa hakuna alie mkamilifuuu

Kwa hivyo vigezo vyake nishajua upo upande gani
 
Kuna sehemu umeongeza sifa ya matumizi ya Tigo,boresha wadada waje.Au ni kwa Mmarangu tu?
 
Mfano mzuriii humuuu humuuu jf wapo wenye kujiheshimu na wasojiheshimu pia wapo wenye akili na virazaaa siunajuaaa hakuna alie mkamilifuuu

Hapana mkuu m nadhan umu wapo ambao wapo kimasihara zaid na wengne wapo serious huwez pima umakin wa mtu umu... #fake id mkuu
 
kwa mashart hayo itabidi uchumba uwe 10 years umchunguze zaidi...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…