natafuta mchumba

awe ni mwanamme mwenye kazi,asiwe mlevi na awe mcha mungu

Dada mimi nina kazi mshahara wangu milioni 2 na laki 5,nina nyumba,nina magari mawili,sinywi pombe alafu nategemea mwakani niwe kama Antony lusekelo.ni pm mawasiliano yako.alafu sina ukimwi.ukinipenda mwezi wa 7 tunafunga ndoa.
 
Mkuu humu kila mtu ana wake sasa wewe sijui umetokea wapi!au mtaan kwenu ni madume tupu?nenda sudan(darfur)utapata huko..loading error...
 
Dada mimi nina kazi mshahara wangu milioni 2 na laki 5,nina nyumba,nina magari mawili,sinywi pombe alafu nategemea mwakani niwe kama Antony lusekelo.ni pm mawasiliano yako.alafu sina ukimwi.ukinipenda mwezi wa 7 tunafunga ndoa.

Lol....
 
awe ni mwanamme mwenye kazi,asiwe mlevi na awe mcha mungu

unataka kuoa/kuolewa na mwanaume mwenzio??!! michango yako inaonyesha wewe ni mwanaume. halafu post zako za ajabu ajabu.
kuna moja ulikuwa unatafuta tindikali....ingine ushapata tindikali....baada ya kupata tindikali kuna member unataka kuonana nao....sijui unataka kuwamwagia hio tindikali??! jamani kuweni makini na huyu mtu anawazingua tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom