Nani aolewe na Mbuzi. We mbuzi hujashiba majani leo ulale? Au zizini kwako hawajafagia mbolea na kutandika nyasi kavu?awe ni mwanamme mwenye kazi,asiwe mlevi na awe mcha mungu
Hapo kwenye mlevi ushanikosa.
Nani aolewe na Mbuzi. We mbuzi hujashiba majani leo ulale? Au zizini kwako hawajafagia mbolea na kutandika nyasi kavu?
masai dada nipo hapami namtaka mnywaji lakini si mlevi
awe ni mwanamme mwenye kazi,asiwe mlevi na awe mcha mungu
awe ni mwanamme mwenye kazi,asiwe mlevi na awe mcha mungu
Dada mimi nina kazi mshahara wangu milioni 2 na laki 5,nina nyumba,nina magari mawili,sinywi pombe alafu nategemea mwakani niwe kama Antony lusekelo.ni pm mawasiliano yako.alafu sina ukimwi.ukinipenda mwezi wa 7 tunafunga ndoa.
Picture muhim usije ukawa dume mwenzet
awe ni mwanamme mwenye kazi,asiwe mlevi na awe mcha mungu
masai dada nipo hapa