natafuta mchumba

natafuta mchumba

fiter

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
1,144
Reaction score
79
awe ni mwanamme mwenye kazi,asiwe mlevi na awe mcha mungu
 
Nani aolewe na Mbuzi. We mbuzi hujashiba majani leo ulale? Au zizini kwako hawajafagia mbolea na kutandika nyasi kavu?

Hahahahaha lol Jamii forum is never boring umenichekesha sana mkuu
 
awe ni mwanamme mwenye kazi,asiwe mlevi na awe mcha mungu

Dada mimi nina kazi mshahara wangu milioni 2 na laki 5,nina nyumba,nina magari mawili,sinywi pombe alafu nategemea mwakani niwe kama Antony lusekelo.ni pm mawasiliano yako.alafu sina ukimwi.ukinipenda mwezi wa 7 tunafunga ndoa.
 
Mkuu humu kila mtu ana wake sasa wewe sijui umetokea wapi!au mtaan kwenu ni madume tupu?nenda sudan(darfur)utapata huko..loading error...
 
Dada mimi nina kazi mshahara wangu milioni 2 na laki 5,nina nyumba,nina magari mawili,sinywi pombe alafu nategemea mwakani niwe kama Antony lusekelo.ni pm mawasiliano yako.alafu sina ukimwi.ukinipenda mwezi wa 7 tunafunga ndoa.

Lol....
 
awe ni mwanamme mwenye kazi,asiwe mlevi na awe mcha mungu

unataka kuoa/kuolewa na mwanaume mwenzio??!! michango yako inaonyesha wewe ni mwanaume. halafu post zako za ajabu ajabu.
kuna moja ulikuwa unatafuta tindikali....ingine ushapata tindikali....baada ya kupata tindikali kuna member unataka kuonana nao....sijui unataka kuwamwagia hio tindikali??! jamani kuweni makini na huyu mtu anawazingua tu.
 

wikiend tutatoka wote????
wikidays unarudi muda gani home???
unakunywa kila siku????
tukishapata watoto marufuku kuweka katika jokofu pombe???
MIMI SINYWI NA SITAKI UNIFUNDISHE
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom