Natafuta Mchumba

Natafuta Mchumba

Ndugu zangu hope mko poa.... mwenzenu natafuta mchumba wa kike😀😀 hapo nimeona niweke sawa maana kuna Vijana wa hovyo humu.

Kama hapa yupo aje pm tuyajenge asante kwa kunisikiliza
Maisha yamebadilika sana! Nikikumbuka usumbufu nilioupata wakati ninawafukuzia wale wachumba wangu wa mwanzo! Halafu wewe unaweka tu tangazo kirahisi kabisa!

Enzi hizo wakubwa zenu tulikuwa tunatongoza chini ya miembe, visimani, mtoni, kupitia barua zenye sticker na pesa ndani yake, kuwavizia wanapotumwa madukani, nk!

Yale maisha ndiyo basi tena!
 
Maisha yamebadilika sana! Nikikumbuka usumbufu nilioupata wakati ninawafukuzia wale wachumba wangu wa mwanzo! Halafu wewe unaweka tu tangazo kirahisi kabisa!

Enzi hizo wakubwa zenu tulikuwa tunatongoza chini ya miembe, visimani, mtoni, kupitia barua zenye sticker na pesa ndani yake, kuwavizia wanapotumwa madukani, nk!

Yale maisha ndiyo basi tena!
Sikuhizi pesa mkononi mguu begani mzee😎
 
Maisha yamebadilika sana! Nikikumbuka usumbufu nilioupata wakati ninawafukuzia wale wachumba wangu wa mwanzo! Halafu wewe unaweka tu tangazo kirahisi kabisa!

Enzi hizo wakubwa zenu tulikuwa tunatongoza chini ya miembe, visimani, mtoni, kupitia barua zenye sticker na pesa ndani yake, kuwavizia wanapotumwa madukani, nk!

Yale maisha ndiyo basi tena!
Hiyo ni zamani ya kale😀😀
Kwa sasa ni bando lako tu..... na hapa nikikosa mimi huyoooo Tinder inanihusu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom