Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Joined
Mar 10, 2024
Posts
5
Reaction score
16
Hello
Mwenzenu upweke utaniua Natafuta mwanamke ambae tutaenda nae kwenye mahusiano na tukiridhiana tuje kuwa mke na mume.
Sifa zangu;
Umri -30yrs
Mjasiliamali
Mkristo

Sifa za mke:
Umri 27yrs na kuendelea
Mkristo
Mwenye hofu ya Mungu
Mwenye upendo wa dhati

Nb. Akiwa Dar itapendeza zaidi

Naimani nitampata humu ndani karibuni sana 0617454917
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom