Albosignathus
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,886
- 1,036
Natafuta mchumba,mwanamke wa miaka 35 - 40 awe mrefu kuanzia futi 5,asiwe anajichubua,Mimi ni mweusi mrefu miaka 45.Awe tayari kupima ukimwi bila shuruti,awe dini yoyote.
Natafuta mstooNatafuta Msebule.
Miaka 28.
Dini Pagani.
Makazi Matombo.
Kazi Fundi viatu.
Kuna ndoa ya BomaniMkuu kwanini dini yoyote? Ndoa mtaifungaje na mtaishije mkiwa imani tofauti??
Ulizaliwa na dini gani? Uliyowakuta nayo wazazi wako!?Kuna ndoa ya Bomani
WakristoUlizaliwa na dini gani? Uliyowakuta nayo wazazi wako!?
Kwahiyo umeikacha?Wakristo
BadoKwahiyo umeikacha?
OkeeBado
Ooh linihisi ni weweOkee
Mungu akuonekanie kwenye haja zako, na ukampate wa Imani yako.
Ukiona hivyo yeye haendi ibadani abadani i.e yupo neutralMkuu kwanini dini yoyote? Ndoa mtaifungaje na mtaishije mkiwa imani tofauti??
Haha mimi sijakidhi vigezo vyako 😎Ooh linihisi ni wewe
Unajichubua?Haha mimi sijakidhi vigezo vyako 😎
Natafuta jikoNatafuta mstoo
Miaka 32
Dini Chritian
Jobless
SijichubuiUnajichubua?
Wewe ni mdogo kiumri?
Wewe ni mfupi?
Hutaki kupima UKIMWI?
Kama unajichubua hapo siwezi kukubali ila kama wewe ni mdogo na unaona unaweza kuishi NAMI Kwa umri huo Unakaribishwa!Haha mimi sijakidhi vigezo vyako