Natafuta mchumba

Mimi natafuta mchumba awe mweupe mrefu wa stani awe na elimu nzuri i mean degree nakundelea.
Umri 36 - 50 hata kama unawatoto mimi sawa tutatunza.
Awe mcheshi ila sio kuzidi.
Awe na kazi nzuri.
Awe muelewa mstaarabu akubali kubadilika.
Asiwe anapiga .
Mimi ni mkristo umri 27
Mimi ni madam /mwanadada
Kama upo serious ni pm
Wenye hasira msinipm
Hahaha eti awe na kazi nzuri
 
Mimi natafuta mchumba awe mweupe mrefu wa stani awe na elimu nzuri i mean degree nakundelea.
Umri 36 - 50 hata kama unawatoto mimi sawa tutatunza.
Awe mcheshi ila sio kuzidi.
Awe na kazi nzuri.
Awe muelewa mstaarabu akubali kubadilika.
Asiwe anapiga .
Mimi ni mkristo umri 27
Mimi ni madam /mwanadada
Kama upo serious ni pm
Wenye hasira msinipm
Tatizo tukiomba usajili mnaaza nyodo mara bachelor yako ya Gentleman huezi kuwa nami. Ngoja waje wenye sifa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom