Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,682
- 45,597
Thio mm yuleeeeumesahau ulinipigia kwenye video call
Alafu acha ujanja ujanja.Ngoja nikamwite kiboko yako Inna![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hebu sema uko na umri gani.Mimi ni mdada natafuta mchumba mwaminifu nahivyo vigezo vingine.
Hii chai ikiiva mnishtue
nimekuelewa mkuu.Edit tangazo lako lisomeke vizuri mkuu, maana nimelisoma nimeelewa tofautiMimi ni mdada natafuta mchumba mwaminifu nahivyo vigezo vingine.
Aya uje kule kuna zawadi nyingine nakuandalia.
Usinimisishe mkuunimekuelewa mkuu.
Mbona tangazo lako limekaa kama ww ni mwanaume? Fanya kuedit utapataNimetaja soma vizuri
NimeshafikaAya uje kule kuna zawadi nyingine nakuandalia.

Umefika wakati bado upo huku.!Nimeshafika![]()
Nimefika kotekoteUmefika wakati bado upo huku.!
Mi mm ndo sijaelewa au...mbona nimeelewa ni mdada huyoMkuu 27yrs alafu unatafuta 36-50yrs unataka kudate na mama zako