Unaitwa Jef au Jafari??
Ushauri wa bure
mke/mume mwema utoka kwa bwana huku jf utakula mikasa mpaka ujute
unless kama unatania...\\
kila la kheri
Hutoka kwa bwana lakini hashushwi kutoka mbinguni.
Naitwa Jef umri miaka 31( jinsia:mwanaume)natafuta mchumba umri miaka 23-31,sibagui dini,kabila,rangi,umbo wala elimu.mawasiliano:0713680829,Juma_Jafari@yahoo.com
jef nimeona unamtaka jena sasa umepigwa chini nini ongeza cv