- Thread starter
- #101
No thanx. .jamani nimeshapatakuna ndugu yangu nae anatafuta mke sijui niwakutanishe vipi ili mkubaliane
No thanx. .jamani nimeshapatakuna ndugu yangu nae anatafuta mke sijui niwakutanishe vipi ili mkubaliane
Haupaswi kujikuna, upele anaowashwa mwenzio. Ukinyamaza umemsaidia, kuliko kuongea Pumba. AsanteMiaka 34 ulikua unasubiria nini?? Ok haoa kwa huo umri utakua bi mdogo wa wenye vipato make haina namna
Ushauri tafuta mtoto wa masikini kwenye hizo taasisi za elimu umuoe wewe na siyo yeye akuoee
Kwa umri huo piga ua kupata wa sazi yako mjukuu wangu utakesha, huo umri uliouta wa miaka 34 na kuendelea wanadili na wasichana wa 18 mpaka 24
Kulikoni?
Umekimbilia kunihukumu wakati hujui my current status.unajua mtu unaweza ukawa umeenda age but hekima huna.we dada ulikua unalalamika unataka divorse sababu hamna hisia na mwanaume wako,yani hata mkigusana kitandani ni kama mama na mwanae.sasa ilikua ndoa ya kikristo ambayo mnafanya agano la viapo pale mbele ya madhabahu ni kifo kitawatenganisha...sasa tatizo lililotokea kwenye ndoa yako mi kukosa affection ni hili huwakumba wengi kwenye ndoa na pia linaondoka wa kuombea ndoa yako kila siku na mmeo.kwani hili mda mwingne hata shetani analisababisha makusudi ili tu mtengane na kumchukiza mungu.hayo yote yametokea sabb wewe kama mwanamke hukushika jukumu lako la kuombea ndoa yako ndo mana hata mumeo alitokea kupata feelings na wanawake wengine na kuzini nao na kukuona si lolote hadi anakusema kwa wanawake zake jua tu ni shetani na strategy zake kuimaliza ndoa yenu.nawe hukumuomba mungu akusaidie na kuamua kufuata akili zako tu leo uko wapi.ndoa si kitu rahisi kwani ukiingia unakutwa na mashambuliz kibao toka kwa shetan.usiwaone watu wamedumu zaid ya miaka kumi wamepitia mengi na unapokutana na shambulizi tumoa silaha ya maombi kulikabili kwani kulikimbia sio suluhu.hata huyo mwanaume uliempata nae utakutana na mengi na kusema afadhali yule wanyuma.na pia hata nae mkioana bado mnazini tu .na yule ex wako pia akioa hivohivo!
we kila quote "tumsifu yesu kristu" wakati kuenenda properly as a christian woman hujui.jifunze na ubadilike
OKEYNo thanx. .jamani nimeshapata
Mama hajakuhumu amekueleza ukweli na ukweli unakuuma na ndio maana umekimbilia kusema hajui status uliyokuwa Nayo. Hapo amesema ulipokuwa mke hukusimama maombini na kama ulisimama kwa maombi usingefikiria kuja hapa kutafuta tena kile ulichokiacha (mume) . Binafsi nimemuelewa maana kila kitu ametoa kwa maandiko takatifu . Labda kama hukumuelewa ungemuuliza tuu kuliko kujihamiUmekimbilia kunihukumu wakati hujui my current status.
Habari. ...natafuta mchumba wa kiume alie serious.Nina miaka 34. Nina kazi nzuri tu kwenye taasisi ya elimu ya juu. Ni mweusi, sio mnene. Mkiristu. Nahitaji mume Mkiristu umri kuanzia 34 na kuendelea. Awe na kipato. Awe tayari kusaidiana maisha. Nipo serious mno sihitaji masihara.
Congrats to you Ms AyandaHabari. ...natafuta mchumba wa kiume alie serious.Nina miaka 34. Nina kazi nzuri tu kwenye taasisi ya elimu ya juu. Ni mweusi, sio mnene. Mkiristu. Nahitaji mume Mkiristu umri kuanzia 34 na kuendelea. Awe na kipato. Awe tayari kusaidiana maisha. Nipo serious mno sihitaji masihara.
Habari. ...natafuta mchumba wa kiume alie serious.Nina miaka 34. Nina kazi nzuri tu kwenye taasisi ya elimu ya juu. Ni mweusi, sio mnene. Mkiristu. Nahitaji mume Mkiristu umri kuanzia 34 na kuendelea. Awe na kipato. Awe tayari kusaidiana maisha. Nipo serious mno sihitaji masihara.
Those wise words written above really reveal how Ayanda really is .........The older you get, the less you speak. Ukikua utapunguza wingi wa maneno kinywani mwako.
Kama ni kweli Ms Ayanda ushapata kile ambacho kilikuwa HITAJI LA MOYO wako, nakushauri uwaombe mods waiondoe hii thread ...No thanx. .jamani nimeshapata
Acha ayanda aishi awezavyo.amejieleza sana wakati wote unaleta habari za neno la mungu neno la mungu wakati mwingine tutumie na akili zetu.walio weka taraka sio wajinga izo habari za ndoa mpaka kufa sijui nini kuna wakati huwa zina fail mm naona ayanda yuko sawa ndoa nyingi ni matatizo tu watu wanaishi ili mradi tu na kwa kuogola neno la mungu sasa iyo sio ndoa ni dhambi kubwa kwa munguThat Covenant haivunjwi mpaka kifo. Either way you have learnt be it hard or simple there is only one way and Jesus is the way. And trust me hayo mawazo uliyonayo still is that very same demon hunting you and it will never stop till it kills you. Neno la Mungu halibadiliki kamwe. Mind you you are out of his word there is nothing safe left for you. Nieleze kwa PM it might save you alot.
Ujana wako umekula na nani uje kuwa serious mno uzeeni???Habari. ...natafuta mchumba wa kiume alie serious.Nina miaka 34. Nina kazi nzuri tu kwenye taasisi ya elimu ya juu. Ni mweusi, sio mnene. Mkiristu. Nahitaji mume Mkiristu umri kuanzia 34 na kuendelea. Awe na kipato. Awe tayari kusaidiana maisha. Nipo serious mno sihitaji masihara.
hahaaaa! kweli ww ni Mtoto wa MalayaNiko hapa my nilikusubiri sana njoo tuyajenge!
34 ni uzeeni? Ha ha ha ha kakojoe ulale dogoUjana wako umekula na nani uje kuwa serious mno uzeeni???