Natafuta mchumba wa kiume

unajua mtu unaweza ukawa umeenda age but hekima huna.we dada ulikua unalalamika unataka divorse sababu hamna hisia na mwanaume wako,yani hata mkigusana kitandani ni kama mama na mwanae.sasa ilikua ndoa ya kikristo ambayo mnafanya agano la viapo pale mbele ya madhabahu ni kifo kitawatenganisha...sasa tatizo lililotokea kwenye ndoa yako mi kukosa affection ni hili huwakumba wengi kwenye ndoa na pia linaondoka wa kuombea ndoa yako kila siku na mmeo.kwani hili mda mwingne hata shetani analisababisha makusudi ili tu mtengane na kumchukiza mungu.hayo yote yametokea sabb wewe kama mwanamke hukushika jukumu lako la kuombea ndoa yako ndo mana hata mumeo alitokea kupata feelings na wanawake wengine na kuzini nao na kukuona si lolote hadi anakusema kwa wanawake zake jua tu ni shetani na strategy zake kuimaliza ndoa yenu.nawe hukumuomba mungu akusaidie na kuamua kufuata akili zako tu leo uko wapi.ndoa si kitu rahisi kwani ukiingia unakutwa na mashambuliz kibao toka kwa shetan.usiwaone watu wamedumu zaid ya miaka kumi wamepitia mengi na unapokutana na shambulizi tumoa silaha ya maombi kulikabili kwani kulikimbia sio suluhu.hata huyo mwanaume uliempata nae utakutana na mengi na kusema afadhali yule wanyuma.na pia hata nae mkioana bado mnazini tu .na yule ex wako pia akioa hivohivo!
we kila quote "tumsifu yesu kristu" wakati kuenenda properly as a christian woman hujui.jifunze na ubadilike
 
Miaka 34 ulikua unasubiria nini?? Ok haoa kwa huo umri utakua bi mdogo wa wenye vipato make haina namna

Ushauri tafuta mtoto wa masikini kwenye hizo taasisi za elimu umuoe wewe na siyo yeye akuoee

Kwa umri huo piga ua kupata wa sazi yako mjukuu wangu utakesha, huo umri uliouta wa miaka 34 na kuendelea wanadili na wasichana wa 18 mpaka 24
Haupaswi kujikuna, upele anaowashwa mwenzio. Ukinyamaza umemsaidia, kuliko kuongea Pumba. Asante
 
unajua mtu unaweza ukawa umeenda age but hekima huna.we dada ulikua unalalamika unataka divorse sababu hamna hisia na mwanaume wako,yani hata mkigusana kitandani ni kama mama na mwanae.sasa ilikua ndoa ya kikristo ambayo mnafanya agano la viapo pale mbele ya madhabahu ni kifo kitawatenganisha...sasa tatizo lililotokea kwenye ndoa yako mi kukosa affection ni hili huwakumba wengi kwenye ndoa na pia linaondoka wa kuombea ndoa yako kila siku na mmeo.kwani hili mda mwingne hata shetani analisababisha makusudi ili tu mtengane na kumchukiza mungu.hayo yote yametokea sabb wewe kama mwanamke hukushika jukumu lako la kuombea ndoa yako ndo mana hata mumeo alitokea kupata feelings na wanawake wengine na kuzini nao na kukuona si lolote hadi anakusema kwa wanawake zake jua tu ni shetani na strategy zake kuimaliza ndoa yenu.nawe hukumuomba mungu akusaidie na kuamua kufuata akili zako tu leo uko wapi.ndoa si kitu rahisi kwani ukiingia unakutwa na mashambuliz kibao toka kwa shetan.usiwaone watu wamedumu zaid ya miaka kumi wamepitia mengi na unapokutana na shambulizi tumoa silaha ya maombi kulikabili kwani kulikimbia sio suluhu.hata huyo mwanaume uliempata nae utakutana na mengi na kusema afadhali yule wanyuma.na pia hata nae mkioana bado mnazini tu .na yule ex wako pia akioa hivohivo!
we kila quote "tumsifu yesu kristu" wakati kuenenda properly as a christian woman hujui.jifunze na ubadilike
Umekimbilia kunihukumu wakati hujui my current status.
 
Umekimbilia kunihukumu wakati hujui my current status.
Mama hajakuhumu amekueleza ukweli na ukweli unakuuma na ndio maana umekimbilia kusema hajui status uliyokuwa Nayo. Hapo amesema ulipokuwa mke hukusimama maombini na kama ulisimama kwa maombi usingefikiria kuja hapa kutafuta tena kile ulichokiacha (mume) . Binafsi nimemuelewa maana kila kitu ametoa kwa maandiko takatifu . Labda kama hukumuelewa ungemuuliza tuu kuliko kujihami
 
watu watakubezi,huku wanataka...usiwasikilize dharau zao....

kingine usiache kazi yako nzuri ukaenda ulaya ,utajuta,unless mmepanga na huyo mchumba mambo ya kueleweka
 
Habari. ...natafuta mchumba wa kiume alie serious.Nina miaka 34. Nina kazi nzuri tu kwenye taasisi ya elimu ya juu. Ni mweusi, sio mnene. Mkiristu. Nahitaji mume Mkiristu umri kuanzia 34 na kuendelea. Awe na kipato. Awe tayari kusaidiana maisha. Nipo serious mno sihitaji masihara.
 
Habari. ...natafuta mchumba wa kiume alie serious.Nina miaka 34. Nina kazi nzuri tu kwenye taasisi ya elimu ya juu. Ni mweusi, sio mnene. Mkiristu. Nahitaji mume Mkiristu umri kuanzia 34 na kuendelea. Awe na kipato. Awe tayari kusaidiana maisha. Nipo serious mno sihitaji masihara.
Congrats to you Ms Ayanda
 
Habari. ...natafuta mchumba wa kiume alie serious.Nina miaka 34. Nina kazi nzuri tu kwenye taasisi ya elimu ya juu. Ni mweusi, sio mnene. Mkiristu. Nahitaji mume Mkiristu umri kuanzia 34 na kuendelea. Awe na kipato. Awe tayari kusaidiana maisha. Nipo serious mno sihitaji masihara.

Umefanikiwa?
 
That Covenant haivunjwi mpaka kifo. Either way you have learnt be it hard or simple there is only one way and Jesus is the way. And trust me hayo mawazo uliyonayo still is that very same demon hunting you and it will never stop till it kills you. Neno la Mungu halibadiliki kamwe. Mind you you are out of his word there is nothing safe left for you. Nieleze kwa PM it might save you alot.
Acha ayanda aishi awezavyo.amejieleza sana wakati wote unaleta habari za neno la mungu neno la mungu wakati mwingine tutumie na akili zetu.walio weka taraka sio wajinga izo habari za ndoa mpaka kufa sijui nini kuna wakati huwa zina fail mm naona ayanda yuko sawa ndoa nyingi ni matatizo tu watu wanaishi ili mradi tu na kwa kuogola neno la mungu sasa iyo sio ndoa ni dhambi kubwa kwa mungu
 
Habari. ...natafuta mchumba wa kiume alie serious.Nina miaka 34. Nina kazi nzuri tu kwenye taasisi ya elimu ya juu. Ni mweusi, sio mnene. Mkiristu. Nahitaji mume Mkiristu umri kuanzia 34 na kuendelea. Awe na kipato. Awe tayari kusaidiana maisha. Nipo serious mno sihitaji masihara.
Ujana wako umekula na nani uje kuwa serious mno uzeeni???
 
1472870517380.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom