Natafuta mchumba wa kike

Natafuta mchumba wa kike

ningekupm ila hilo jina lako mmmmh! Hebu mnaotafta wachumba muwe na majina mazuri bana mnajizibia fursa nyie wenyewe. Hivi ukiwa na jina kama the boss unafikiri utachelewa kupata mchuchu? Ni mfano tu jamani. Ok, byee.
kwahiyo id yake imemkosesha mchuchu husninyo....mimi na fikiri miaka anayoitaka ndiyo tatizo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom