Hodi humu jamani!jaman hodi sana!nimejitokeza humu nikiamin kuwa jamii forum itanitimizia malengo,mim ni mwanaume mwenye miaka 26 ,ni mrf wastani,maji ya kunde,na mtanashati,nipo single na sijawah kuwa na mpenz,natafuta mchumba atakae kuwa wa kuanza kuniingiza kwenye tathnia ya mapenzi,awe na umri chini ya 25 ,mkristo,awe anaish mtwara au dar,elimu yoyote,anaejua kupenda ,mwenye tabia nzuri,anaeweza kuish maisha ya kawaida syo sista duu,mpole,mpenda maendeleo,anaeyajua angalau kdogo maisha,kabila lolote lile except wachaga,dada mwenye sifa hzo anipm,nimpe namba yangu