Wote kanyaga twende, huna specifications?? Hata miaka 80 it is ok for you!!! Open market system!!Niko Scandinavia, na nitafurahi kupata mwanamke aliyeko huko tuwasiliane ili tuone tutafikia wapi.
Ahsante.
Niko Scandinavia, na nitafurahi kupata mwanamke aliyeko huko tuwasiliane ili tuone tutafikia wapi.
Ahsante.
Wote kanyaga twende, huna specifications?? Hata miaka 80 it is ok for you!!! Open market system!!
Niko Scandinavia, na nitafurahi kupata mwanamke aliyeko huku tuwasiliane ili tuone tutafikia wapi. Ningependa kupata mwanamke mwenye kujitambua, mwenye elimu/kazi/biashara yake ama hata mwanafunzi, kati ya miaka 22- 38, awe anaishi kati ya Denmark, Finland, Norway, Germany, Austria, Sweden, Holland, Luxembourg, France, Iceland, Ireland/UK.
Ahsante.
mie nipo hapa uk,sina shule ila ningependa nipate mtu wakunizalisha,kuolewa sitaki ila ningependa kupata mtoto nimlee mwenyewe
Niko Scandinavia, na nitafurahi kupata mwanamke aliyeko huku tuwasiliane ili tuone tutafikia wapi. Ningependa kupata mwanamke mwenye kujitambua, mwenye elimu/kazi/biashara yake ama hata mwanafunzi, kati ya miaka 22- 38, awe anaishi kati ya Denmark, Finland, Norway, Germany, Austria, Sweden, Holland, Greenland, Luxembourg, France, Iceland, Ireland/UK. Ikishindikana itakuwa vyema kupata mtu hata aliyeko Australia, Canada, New Zealand ama USA.
Asenti.
Sawa, nimetimiza karibu vyote, moja tu, mimi ni mlokole.Sijaokoka. Nimefanya editing ya announcement tena.
Asenti
Scandinavia ya K,koo au Ubungo?Niko Scandinavia, na nitafurahi kupata mwanamke aliyeko huku tuwasiliane ili tuone tutafikia wapi. Ningependa kupata mwanamke mwenye kujitambua, mwenye elimu/kazi/biashara yake ama hata mwanafunzi, kati ya miaka 22- 38, awe anaishi kati ya Denmark, Finland, Norway, Germany, Austria, Sweden, Holland, Greenland, Luxembourg, France, Iceland, Ireland/UK. Ikishindikana itakuwa vyema kupata mtu hata aliyeko Australia, Canada, New Zealand ama USA.
Asenti.
Wewe upo "Yaenda" bibie, anatafuta wale wa matawi ya juu. Utakomaje mwaka huu, he he he...!.hebu toa maelezo bana ili tujue namna tutakavyokuja kula kipupwe huko.........halafu nimekupenda.....wewe ndio huyo hapo kwenye picha......?