Yummy
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,796
- 1,336
Nilikuwa UK kwa miezi mitatu, sikuwa na muda kabisa wa kukaa na laptop ilikuwa ni mchakamchaka, na hata Blackberry ninayotumia nina access tu ya kuingia lakini kucoment siwezi hata nikilog in lakini JF inakataa comment zangu, bado sijajuwa tatizo la hii simu ni nini.
Anyway am in Dar for almost two weeks now, sweet home. Pamo1 sana.
We Mhaya??