Natafuta mchumba nimuoe

Natafuta mchumba nimuoe

Haya thanks twin ndo nasaka,maisha mema na miss neddy bila kuweka @

Jitahidi tu twin. Me wangu ndo ananiandalia maji yakuoga baada ya uchofu wa kazi....naona na meza 'imechafuka' hapa ohoooo...
 
Last edited by a moderator:
Jitahidi tu twin. Me wangu ndo ananiandalia maji yakuoga baada ya uchofu wa kazi....naona na meza 'imechafuka' hapa ohoooo...
twin kumbe amekuandalia maji ya moto,nimetupia pilipili humo,usioge
 
Mtu wa Pwani,

Kwa mujibu wa Lunyungu et al kula huo ugali ni matumizi mabaya ya pesa za Umma!

We are now sinking really low! kiasi cha kutojua pamoja na kuwa rais pia ni Mzazi, Mume, Mjomba, Baba Mdogo, Mkwe etc

Ndio ..............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom