Natafuta mchumba nimuoe

Natafuta mchumba nimuoe

Nilikuwa kwenye majukumu na mkuu wa mkoa pale kinondoni kuzidua Jarida la Sauti ya siti nikatonywa nimeteuliwa kwenye kamati ikabidi nije nipite nione hapo sawa naweza fiti kabisa.

Mkuu unabahati na fursa
 
Nilikuwa wapi jamani?Hii thread sijaiona ati nahisi pm kwako kumeishajaa
 
  • Thanks
Reactions: Mpu
Nataka unipe rushwa ya vipapatio Tiba

Labda vipapatio viwe vingi vya kutosha ndipo utapata. Ninavyo penda vipapatio? Wewe kuku mzima chukua lakini uniachie vipapatio.

Tiba
 
Last edited by a moderator:
Labda vipapatio viwe vingi vya kutosha ndipo utapata. Ninavyo penda vipapatio? Wewe kuku mzima chukua lakini uniachie vipapatio.

Tiba

Hahahahaaa vinaitwa vitongozeo kwa jina lingine... Vitamuje hasa uvipate hivi 1415857140428.jpg

1415857140428.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom