mysteryman
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 977
- 176
<br />Toa sababu kama tatu hvi kwann unataka mwenye mtoto.lengo lako ni nini hasa?
Jamani ninatafuta mchumba mwenye mtoto mdogo wa kike...kwa moyo wa dhati kabisa nipo tayari kuwa baba wa mtoto huyo....note: awe anajitosheleza kiuchumi...ambae yuko tayari na ana kigezo hicho tuwasiliane
Jamani ninatafuta mchumba mwenye mtoto mdogo wa kike...kwa moyo wa dhati kabisa nipo tayari kuwa baba wa mtoto huyo....note: awe anajitosheleza kiuchumi...ambae yuko tayari na ana kigezo hicho tuwasiliane
<br /><font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">tupe kwanza sababu ya wewe kutaka mtu mwenye mtoto wa kike.......nimekufikiria vibaya ujue......</span></font></font>
<br />Jamani ninatafuta mchumba mwenye mtoto mdogo wa kike...kwa moyo wa dhati kabisa nipo tayari kuwa baba wa mtoto huyo....note: awe anajitosheleza kiuchumi...ambae yuko tayari na ana kigezo hicho tuwasiliane
<br />Kwa nini wa kike?
Toa sababu kama tatu hvi kwann unataka mwenye mtoto.lengo lako ni nini hasa?
Naunga mkono hoja kwa 2%, huenda msela hawezi kuprodyuzi...
He?! Mtoto wa kike? Wewe unamtakia nini? Kweli Bibi yangu alinambia kua uyaone kha? Nayaona sasa