Hi wana jf,
Mi ni mdada mwenye umri wa miaka 24, dini yangu ni muislam,nimeajiliwa ktk taasisi ya kiserikali,muonekano wangu sio mfupi wala mrefu, mzuri kiasi na rangi yang si mweupe wala mweusi ni natural situmii mkorogogo na napenda maendeleo na napenda kujituma pia.napenda kuishi maisha ya amani furaha na upendo
Mwanaume nimtafue,
Dini yake awe muislam,umri kuanzia miaka 26-32,Awe mfanyakazi au mfanya biashara,awe mrefu kiasi na asiwe mnene sana,awe anajua maisha nini, mpenda maendeleo, awe na upendo wadhati.jwa yeyote mwenye nia njema tuwasiliane kupitia email byera43@yahoo.com.
Mi ni mdada mwenye umri wa miaka 24, dini yangu ni muislam,nimeajiliwa ktk taasisi ya kiserikali,muonekano wangu sio mfupi wala mrefu, mzuri kiasi na rangi yang si mweupe wala mweusi ni natural situmii mkorogogo na napenda maendeleo na napenda kujituma pia.napenda kuishi maisha ya amani furaha na upendo
Mwanaume nimtafue,
Dini yake awe muislam,umri kuanzia miaka 26-32,Awe mfanyakazi au mfanya biashara,awe mrefu kiasi na asiwe mnene sana,awe anajua maisha nini, mpenda maendeleo, awe na upendo wadhati.jwa yeyote mwenye nia njema tuwasiliane kupitia email byera43@yahoo.com.