Hongereni kwa kazi wana JF. Mimi ni kijana mwanaume(31).nimeajiriwa na serikali kipato kinanitosheleza .natafuta mchumba mwanamke(21-25).awe mcha mungu,msafi,mrefu wa wastani,mkweli,afya njema.pia awe anaish Mbeya au Iringa.mwenye ajira atapewa kipaumbele.mwenye kutaka nina muomba ani PM,anipe mawasiliano.am serious.