Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,417
- 11,073
Habari habari naingia na kiu na haja ya moyo. Nahitaji mwanamke binti asiye na mambo mengi asiye na mtoto (asiye legend wa labor), nyonyo ngumungumu sio nyonyo lala, si kwa ubaya awe mfanyakazi, mwanafunzi wa chuo, kamaliza form six, cheti, diploma, mhitimu.
Japo ni kwa mapenzi ya kweli na dhati, ila napendekeza kuishi kama wapenzi Kwa miaka kwanzia 1-2, umate umate sina kivile, huduma zangu kwa kuanzia kodi ya kula elfu5 kila siku, bajeti emergency kwa mwezi elfu 50, kodi ya kula sitoi yote ntatoa kila siku, na hiyo elfu 50 itasubiri shida mfano saloon, unashida ya kuumwa etc, naweza kumtafutia kadi ya bima.
Uelewa, uvumilivu, utii, unyenyekevu, na heshima ni nguzo za kike na mahusiano.
Masister duu, mademu wa insta, TikTok, walevi wa WhatsApp na takataka zingine sina mzuka nao. Kila kitu iwe kiasi.
Kipato changu kawaida sana japo cha ajira ya kudumu.
Ukija inbox uliza maswali ya msingi ntajibu yote. Uje kwa dhamira ya dhati ya Mungu kama ilivyo dhamira yangu.
Maswali yanayoakisi vigezo vya Mungu na vya kudumu. Maswali ya Ibilisi ntapotezea. Tutaongea mengine inbox.
Location: Nipo Moro, mwanamke akiwa wa Morogoro au DSM ni poa zaidi. Kwa mwenye maombi ya Mungu popote ulipo wewe ni mke wangu usiogope ongea na Mungu.
Age Simba SC. Fan mnazi shazi shaz Scania 40.
Ubachelor ni dhambi kuu. Tuikatae kwa nguvu zote.
Umri sibagui fungamanisha mimi 40 so jipimie mwenyewe. Dini na makabila ni ya Mungu na huu mpango pia naukabidhi kwake.
Dharau, kejeli, matusi, masimango, kuvunja moyo nakaribisha vyote. Kujifunza siyo kwa kudekezwa tu. Uwe huru kucomment.
Tiba ya moyo ni maudhui ya moyo wenyewe.
Email: shazwadiz@gmail.com
Japo ni kwa mapenzi ya kweli na dhati, ila napendekeza kuishi kama wapenzi Kwa miaka kwanzia 1-2, umate umate sina kivile, huduma zangu kwa kuanzia kodi ya kula elfu5 kila siku, bajeti emergency kwa mwezi elfu 50, kodi ya kula sitoi yote ntatoa kila siku, na hiyo elfu 50 itasubiri shida mfano saloon, unashida ya kuumwa etc, naweza kumtafutia kadi ya bima.
Uelewa, uvumilivu, utii, unyenyekevu, na heshima ni nguzo za kike na mahusiano.
Masister duu, mademu wa insta, TikTok, walevi wa WhatsApp na takataka zingine sina mzuka nao. Kila kitu iwe kiasi.
Kipato changu kawaida sana japo cha ajira ya kudumu.
Ukija inbox uliza maswali ya msingi ntajibu yote. Uje kwa dhamira ya dhati ya Mungu kama ilivyo dhamira yangu.
Maswali yanayoakisi vigezo vya Mungu na vya kudumu. Maswali ya Ibilisi ntapotezea. Tutaongea mengine inbox.
Location: Nipo Moro, mwanamke akiwa wa Morogoro au DSM ni poa zaidi. Kwa mwenye maombi ya Mungu popote ulipo wewe ni mke wangu usiogope ongea na Mungu.
Age Simba SC. Fan mnazi shazi shaz Scania 40.
Ubachelor ni dhambi kuu. Tuikatae kwa nguvu zote.
Umri sibagui fungamanisha mimi 40 so jipimie mwenyewe. Dini na makabila ni ya Mungu na huu mpango pia naukabidhi kwake.
Dharau, kejeli, matusi, masimango, kuvunja moyo nakaribisha vyote. Kujifunza siyo kwa kudekezwa tu. Uwe huru kucomment.
Tiba ya moyo ni maudhui ya moyo wenyewe.
Email: shazwadiz@gmail.com