Natafuta Mchumba Mwalimu


Mimi namshangaa sana huyu jamaa, najua na Nina uhakika kabisa, katika hiyo shule anayofundisha yeye anaita taasisi, kuna mabinti kibao kuliko wao wa kiume, na anawasikia wakilalamika kuachwa na kutoolewa na wengine kutaka kuzaa nje tu, kwanini asikamatie mmoja..
Ikiwa hao hataki wale wa kila mwaka wapya wanakuja....
 
 
Ahahahah mchumba mwalimu?? jiandae kuwa na presha.. Maana mhhhh niwajuavyo mimi walimu wa kike wa miaka hii ni warahisi mno
 

Ngoja nikwambie kitu Apologise lady , kuna baadhi ya wanaume kumtokea mdada uso kwa uso ni shiiiiiiiiidaaaaaaa! ila kwa kuandika anoana siyo tabu. Kwa kutumia jf, anaweza kukutana na kuanza kuongea na jirani wa mlango unaofwata. kama vile mimi na wewe!!!!!! ha ha ha ha!
 

omurwanga, kwanza umenichekesha mie, sasa ukiogopa kurusha nyavu utaombaje unyumba au ndio mwendo wa memo kuwekeana mezani?

back 2 our topic: Mimi sikatai unachosema, ila mimi napata shida kuamini kuwa mwanaume anaweza kumpenda mtu asiyemuona, kwa mwanamke ni rahisi sana kumpenda mtu pasi kigezo, kwakua manawake wengi wanaangalia namna mwanaume atakavyomhadle but wanaume kudate na binti hadi hatoe kasoro kibao, sijui huyu kiuno kimepinda, huyu miguu inaelekea kushoto, huyu akiongea kama analia sasa mtu usie muona unamchambua vipi hadi kuona roho ikaridhika, si ndio mambo yakukaa kwenye mahusiano wk 2 then unaanza kulalamika hakuwa kusudio lako, mi naona afadhali hata wanaoenda huko facebk, instragram, angalau unaweza kumuona mtu before hujadate nae. ni mtazamo tu

Yataka moyo kwel kwel na kumshirikisha Mungu, hii ni sawa na mambo ya bahati nasibu
 

Unachosema ni ukweli na mimi nakubaliana na wewe, na hata mleta mada naye akisha mpata anaye mhitaji baada ya kuonana wataanzisha ka "process" au kamchakato ka kujuana kwanza kabla ya kuvamiana...... yaaani just like we did you and i.
 

hata hapa anaweza kukutumia picha....mnaanza na chat za pm,mnabadilishana namba[mara nyingi namba hizo zinakuwa na whatsapp]....hata kama hajakutumia picha unapanga kuonana nae and u start from there...
 
 
hata hapa anaweza kukutumia picha....mnaanza na chat za pm,mnabadilishana namba[mara nyingi namba hizo zinakuwa na whatsapp]....hata kama hajakutumia picha unapanga kuonana nae and u start from there...

Naelewa yote hayo but ukwel ni kwamba haijakaa sawa anyway, yote heri
 
Naelewa yote hayo but ukwel ni kwamba haijakaa sawa anyway, yote heri

haijakaa sawa kudate online?? usikariri maisha,binadamu wako tofauti na wanaishi kwenye mazingira tofauti....unaweza usielewe ila kuna watu wanaweza kukaa siku nzima hajapata mtu wa kuongea nae face to face hata kwa dakika moja!
 
haijakaa sawa kudate online?? usikariri maisha,binadamu wako tofauti na wanaishi kwenye mazingira tofauti....unaweza usielewe ila kuna watu wanaweza kukaa siku nzima hajapata mtu wa kuongea nae face to face hata kwa dakika moja!

umenielewa vibaya, kudate online ni jambo la kawaida sana wala sikatai lakini inakuwaje ikiwa mshafanya taratibu za mwanzon akakutumia pic siku ya kuonana unakuta ni mtu tofauti na kwenye picha, kumbe picha aliyokutumia niya miaka 7 iliyopita, utamwambia umeghairi? just joke!!!. kifupi nimekuelewa
 

hizo ndio changamoto....
 
Umetisha kijana una akili sana big up!!!
 

Kwa nini unasema kuwa ni bahati nasibu??cauz social media zipo nyingi kama hutoweza kuona picha yangu hapa we can navigate to whatsup au by any means before we meet mambo nowdays yamerahisishwa
 
mwl wa kuoa, watu tuko sirias achen masihala jamani ,PM
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…