Natafuta Mchumba Mwalimu

Hahaha we mchokozi mimi mwalimu wangu alikuwa ana nipima kasema

Mitihani hii ni ya masomo ya science sana mamichoro hivi mi nilisoma business shycom ndo maana nimefail

Yeye anaweza faulu ma reproduction sijui,Almentary canal huko na mengine

Alikufanya mock kuelekea necta!
 
mimi ni mwalimu katika taasisi mojawapo hapa dsm natafuta mwanamke wa kuishi nae mchumba huyu awe ni mwalimu ngazi yeyote ile pia awe anaishi dsm ni pm kama upo tiyari...

hii nayo kali
 
A na B yote sawa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…