Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,360
- 176,179
Ni kweli atoto, lakini ndo hawajitokezi tena!!!
ukiona hivyo ujue washawahiwa, inabdi ukajichagulie ambao hawajaanza kazi
Ni kweli atoto, lakini ndo hawajitokezi tena!!!
Huu nao ubaguzi lol
umeona eeeh!! kwahiyo tusio walimu hatuolewi??
Si ndo nashangaa hata mimi. Yan engineer,bankers,doctors hadi wakulima wanataka walimu. Haya c majanga haya?
ndo hapo chacha! inabd turud tusomee ualimu ili tupate waume, duuuh!!!
wengi tunaamin walimu ndo favourites, lakn unaweza ukampata asiye MWL na ukaenjoy uwepo wake! so,atoto na kantwe msiogope xana
hahahahaaa na uzee ndo unazidi kusogea ujue
Mie dalali wa uchumba nikutafutie kama watano hiv alaf ujichagulieee?????
sema wewe kada gani tuangalie uwezekano
Heee kada tenaa?? Unamaanisha hapa napo utaangalia angalau inayokaribiana na ualimu. Nikikutajia kada yangu ndo utachoka maana wadada wa kada hii wanasifika kwa usista duu na kupenda matanuzi
Usiogope sema tu safari moja huanzisha nyingine funguka shosti.
Ninachosema hapa taaluma ya mtu isihusike ktk vigezo vya kupata mtu
Mtaani kwetu kuna mwalimu wa kareti,atakufaa.